Search This Blog

Sunday 19 June 2022

MWANAMKE MWENYE KOVU JEUSI - 5

 





    Simulizi : Mwanamke Mwenye Kovu Jeusi

    Sehemu Ya Tano (5)





    Tulifika pale makao makuu ya iwzara ya mambo ya ndani, tulipanda moja kwa moja mpaka gorofa ya



    pili ambapo ndipo zilipokuwa ofisi za jeshi la polisi, baada kuingia mule ndani nilikutana na

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    kamishina mkuu wa jehi la polishi idara ya upelelezi, akiwa yupo pamoja na wasaidizi wake watatu,



    alionekana kama mtu aliyekuwa na hasira sana ilyochanganyikana na hudhuni Fulani, nilihisi itakuwa



    sababu ya kifo cha yule mkuu wangu wa kazi kwani alikuwa ni rafiki yake sana hata pia ile nafasi ni



    yeye ndio aliyempatia kutokana na na kujuana kwao nilisika pia hata depo waliingia pamoja,nilkaa



    kwenye kiti pale mbele kisha wale wafanyakazi walionipeleka wao walitoka nje na kuniacha mule



    ndani nikiwa pamoja na wale ma ofisa wa pale makao makuuu, kamishina alinitazama kama dakika



    tano hvi bila ya kusema neon lolote huku machozi yakionekana kama yalikuwa yanamrenga renga,



    na mimi skitaka kuzungumza kitu kwanza niliendelea kusubli mpaka pale wao wenyewe



    watakapoamua kuanza mazungumzo, mara yule msaidizi wake akamwambia “mkuu tumuhoji basi



    haraka haraka ili tujue ni kipi cha kuendelea nacho” kamishina alionekana kama vile kushituka kama



    ni mtu aliyekuwa akiwaza mbali sana ndipo alipoanza kuniuliza maswali mbali mbali kuhsu yule



    mwanamke namjua vipi nahusika vipi kwa nini wenzangu wanishitumu kwamba namjua na



    nashirikiana nae katika kumpa habari, roho iliniuma sana baada ya kusikia kauli eti wenzangu



    wananishutumu.sikuamini kusikia vile, nilikaa kimua wakazungumza mule kwa takiribani dakika



    kumi na tano kisha na mimi ndipo nikafungua mdomo wangu kuanza kuwajibu, nilimueleza kila kitu



    ya kwamba yule mwanamke alikuwa ni mtu makini sana tofauti na sisi tulivyokuwa tunafikria,



    walitega sikio kwa makini kusikia kipi nilichokuwa nazungumza niliendelea kuwapasha ya kwamba



    mimi  naona kama nilikuwa tu nimetolewa kafara na mkuu wangu hasa baada ya kuona kazi inakuwa



    ngumu au kwa sababu matukio mengi yaliyokuwa yakimuhusu yule mwanamke nilikuwa nakutana



    nayo mimi au nahusika nayo,alinitazama usoni akionekana kabisa kuna kitu alikuwa akikisoma usoni



    kwangu kisha akaniambia ya kwamba na je ninajua vipi kuhusu kifo cha merehemu inspekta Thomas,



    nilimwambia kwa kweli mimi taarifa nilikuwa nazo lakini sikuwa najua lolote kuhusu kile kifo,



    alinitazama yena kisha hapo hapo akanipandishia swali jingine, je kwa nini nilikuwa sipatikani



    kwenye simu na kwenye msiba sikuwepo pia hata kwangu sikuwepo kama taarifa nilikuwa nazo,



    ilinibidi niwaeleze ukweli wote kwani nilijua kwamba bila vile wangeendelea kuwa na imani na mimi,



    niliwaeleza kila kitu kutoke siku ile nilipoambiwa ya kwamba nimesimamishwa kazi mpaka safari



    yangu ya Tanga na mwisho ile safari yangu ya visiwa vya shelisheli, niliwaeleza ya kuwa japo



    nilikuwa nimesimamishwa kazi lakini mimi kama ninilikuwa bado naendelea na ile kazi



    mwenyewe,walionekana kama vile walikuwa hawaniamini,basi kama nilikuwa najua nilitoa tiketi ya



    ndege kutoka kwenye moja ya bahasha niliyokuwa nimetoka nayo nyumbani pamoja na na risiti za



    hoteli kule  visiwa vya sheli sheli walionkena kuanza kujenga imani tena na mimi. Basi baada ya yale



    mazungumzo yule kamishina mkuu aliniambia ya kwamba sasa itanibidi mimi niendelee na ule



    upelelezi bila ya kumjulisha mtu yoyote hasa wale niokuwa nafanya nao kazi kisha niwe nalipoti



    kwake, aliniambia ya kwamba taarifa alizokuwa nazo ni kuwa Jamila analudi kesho hivyo basi



    nayeye atamuunganisha na mimi kufanya ile kazi bila ya kuingiliana na na akina Amina, nilimshukuru



    sana kwa kuonyesha ule uelwewa, basi pale pale nilitoa baadhi ya vifaa ambavyo nilkuwa nimevipta



    ambavyo nilivihisisha moja kwa moja na yule mwanamke, walivitazama sana, kisha nikamuona



    kamisjina akiguna baada ya kuona kile kitabu kilichokuwa na namba za simu “mh mbona huu



    mwandiko kama vile naujua” alizungumza alijaribu kuvuta kumbukumbu pale bila ya kukumbuka ila



    akendelea kusisitiza ya kwamba ule mwandiko anauhakika kabisa alikuwa anaujua, alishangaa sana



    baada ya kukutana na plani za watu waliokuwa kwenye malengo ya yule mwanamke walizidi kuhoka



    sana, ndipo mkuu akaanza kunisisitiza tena nijitahidi basi asije leta madhara zaidi ya pale kwani



    mpaka pale ilikuwa ni doa kubwa sana kwenye jeshi la polisi, nilimwambia hakuna shida ile kazi hata



    mimi nimedhamiria kuifanya kwa nguvu zote li kuondoa ile dhana iliyokuwa imejengeka kwa



    wafanyakazi wenzangu.basi tulimaliza yale mazungumo huku mkuu wangu akinihakikishia kunipa



    msaada wowote ule ambao ningeutaka lakini ahakikishe tu kina Amina wasijue kama na mimi



    nilikuwa nafuatilia ile kesi, pia walinishukuru sana kwa ule moyo wangu niliouonyesha mpaka



    kutumia gharama zangu binafsi kwenye mpaka visiwa vya sheli sheli kwenda kumfuatilia yule



    mwanamke.

                                    ********************************

    Baada ya kumaliza kujihakikishia upekuzi tena wa ile simu ya yule mwanamke nilielekea asubuhi na



    mapema kwenye ofisi za tume ya mawasiliano ambapo nilikutana tena na afisa huyu akiwa ni



    mwingine kabisa ambaye alikuwa ni kijana mdogo sana akionyesha kama ni mtu aliyekuwa ametoka



    masomoni sio muda mrefu sana, nilizungumza naye pale kisha nikatoa kitambulisho changu ambapo

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    baada ya kukiona ndipo nikaanza kumuelezea  sababu za mimi kuwa pale ofisini kwake asubuhi yote



    ile  alinisikiliza kwa makini kisha akachuka ile namba ya simu ya yule mwanamke na kuiingiza



    kwenye laptop yake ambapo aliangalia location ambapo ile namba ilikuwa inasoma mara kwa mara



    ilionekana ilikuwa inasoma mitaa ya kimara, alizidi kupekuwa mpaka umbali wa mahali ilipokuwa



    inasoma ile namba kutokea kwenye mnara wa simu, baada ya pale aliiprinti karatasi ikionyesha



    umbali wa mahali ambapo ule mnara ulikuwa ukisoma alinikabidhi huku akinijulisha kwamba kama



    kukiwa na shida nyingine basi nisisite kumfuata tena,nilipokea ile karatasi na kumshukuru kisha



    nikatoka nje na kuanza safari ya kuelekea pale kimara baruti ambapo ndipo mahali ile namba ilikuwa



    ikisoma.

                                ******************************

    Nilifika kimara na kisha kuelekea kule mahali nilipokuwa nahitaji kufika kwa ajili ya kuliona lile eneo



    nilitembea zaidi ya nusu saaa bila ya kuona ile ramani ambayo nilkuwa nayo mpaka ikanibidi



    niwauliza baadhi ya watu njiani ambao baada ya kunielekeza ndipo nikaendelea na safari yangu



    nilifika mpaka wenye ule mnara uliokuwepo kwenye ramani kisha nikatoa tena ramani yangu na



    kuanza kuangalia mwelekeo tena, niliiweza kuifuata mpaka nikafika kwenye ile nyumba kwani



    haikuwa mbali sana na ule mnara.

    Nyumba yenyewe ilikuwa imejitenga kidogo huku ikionyesha dhahiri ya kwamba haikuwa na muda



    mrefu tokea imalizike ujenzi wake, basi nilijaribu kugonga moja kwa moja pale mlangoni kwani uzio



    wake haukuwa umekamilika vizuri hivyo hata geti ulikuwa bado haujawekewa, niligonga sana bila



    hata ya kupata majibu mwisho nikaelekea nyumba ya jirani ili niweze japo kupata habari mbili tatu



    kuhusu mkazi wa ile nyumba,niliweza kukutana na mlinzi mmoja wa kimasai wa ile nyumba ya jirani



    baada ya kumsalimia ndipo nilipoanza kumuulizia kwanza alikuwa anaonyesha tabu kujibu mara,



    hamjui mara yeye sio mlinzi wa iyo nyumba hivyo hajui kitu chochote lakini baada ya kumbembeleza



    sana huku nikimdanganya ya kwamba nilikuwa nimeambiwa ya kwamba dada yangu alikuwa ndio



    anakaa pale mimi ni mgeni nimetoka Morogoro nina mud asana nilkuwa sijafika dar hivyo basi baada



    ya kufika na kuulizia ndipo nilipoambiwa ya kwamba alikuwa amehamia kwenye nyumba ile, yule



    mmasai alinitazama kisha akaniambia ya kwamba, siku hizi hakuna cha bure nimpe hata pesa ya soda



    ndipo aweze kuniambia.

    Sikuonyesha kusit kwani kwangu jambo muhimu lilikuwa ni kupata habari tu basi nilitoa shilingi elfu



    tano na kumpa, alishangaa sana kwani alijua labda nitampa elfu moja au mbili, basi hakuamin baada



    ya kumwambi ya kwamba achukue yote, aliifunga kwenye kona moja ya shuka lake la kimasai kisha



    ndipo akaanza kuniambia habari za kuhusu yule mwanamke alisema ya kwamba yeye hakuwa



    anamjua sana kwani huwa anaingia usiku au jioni huku akiwa na gari au piki piki na mara nyingi



    huwa anavaa anajifunika sana kiasi kwamba inakuwa vigumu sana kumuona, nilimuuliza mara ya



    mwisho kumuona ilikuwa ni lini aalinijibu ya kwamba kama siku tatu zilizopita na sio kawaida yake



    kwani mara nyingi huwa anapita kila siku,. Basi nilivuta pumzi na kisha kumuuliza kama akimuona



    kwa sura atamkumbuka, aalisita kisha akasema, sizani kwa maana ni mtu ambaye huwa anapita ahuk



    akiwa na haraka haraka sana nilimuuliza pia kama huwa kuna wageni wanakuja kumtembelea



    alisema toka yule mwanamke aanze kukaa ile nyumba hajawahi kuona mtu yoyote yani mimi ndio



    nilikuwa mtu wa kwanza kja na kumuulizia kwani inaonekana yule mwanamke huwa anakuwa yupo



    bize sana, basi nilimshkuru kisha nikaanza kuondoka, basi yule mmasai akaniuliza sasa kama akija



    nimuambie nani kaja, nilisimama kisha nikamsogelea na kuanza kumwambia kwa sauti ya taratibu ya



    kwamba asimwambie lolote kisha nikampa namba yangu na kumwambiaya kwamba wewe ukimuona



    amekuja wewe nibeep mimi  nitakuja pia kutakuwa na zawadi yako nono,yule mmasai alionekana



    kufurahi sana kusikia kuwa nitampa zawadi. “sasa mtu mwenyewe huwa akija hakai sana unaweza



    kuja na usimkute” alinimabia yule mmasai basi na mimi nikamjulisha ya kwamba asiwe na wasiwasi



    kwani mimi nilikuwa naishi mazingira yale yale jirani hivyo hofu aondoe kabisa.

                                    ***********************************

    Nilifika uwanja wa ndege mida ya asubuhi na mapema kwa ajil ya kwenda kumpokea Jamila ambaye



    alikuwa mafunzoni nje ya nchi huku akiwa ameenda kujifunza kozi fupi ya mambo ya social



    intelligence  nilipaki gari yangu sehemu ya kuegeshea magari kisha nikaenda moja kwa moja sehemu



    ya kusubilia wageni,nilikuwa nimewahi kama muda wa dakika arobaini hivi kabla ya muda wa ile



    ndege ya KLM kufika, basi baada ya muda ile ndege ilifika namimi nilijiamisha na kuhamia sehemu



    ya kutokea abiria, baada ya dakika tano nilimuona Jamila  akiteremka huku akiwa ameshika begi lake



    dogo akiliburuta na mkoba wake mingine ukiwa kwapani, basi nilimsogelea na kumkumbatia huku



    nay eye akionyesha tabasamu pana kidogo kisha tukasalimiana pale, Jamila alionekana kufurahia



    sana mimi muda ule wa asubuhi yote kuwa pale kwa ajili ya kumpokea, aliongea kwa utani,ulilala



    ukinota nini?  Basi tulipanda kwenye gari yangu na kuanza safari ya kuelekea nyumbani kwake



    alikokuwa amepanga alikuwa amepanga magomeni. Ndani ya gari tulizungumza  mambo mengi sana



    huku mimi nikimwambia afadhali ameludi kwani mwanamke mwenye kovu jeusi bado anaendelea



    kusumbua jiji, alinitazama kwa macho ya hudhuni Fulani huku akionekana kama ni mtu aliyehisi kitu



    Fulani kisha akaniambia, inamaana mmeshindwa kumdhibiti , nimitamzama kisha nikamwambia ya



    kwamba pale tulikuwa tukimsubili yeye nay eye pia ajalibu kumkamata kama ile kazi likuwa ni rahisi,



    nilimwambi kwani barua zangu pepe ulikuwa huzipati? Hali imekuwa mbaya sana juzi nilikuwa



    makao makuu waliniambia ya kwamba wewe ukifika tu utajumuika na mimi katika kufuatilia hili



    jambo kwa siri bila ya kuingiliana na kina Amina, aliguna kisha akajikuta anasema ya kwamba

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    hapana katika hili jambo mimi mtanitaka radhi kabisa sitoweza kuifuatlia bora nipewe majukumu



    mengine, nilimmwambia kwa upole sasa Jamila hiyo kozi uliyokuwa umeenda kuisoma huko



    Marekani imekusaidia nini wakati mkuu wetu ameona ya kwamba wewe ndio utafaa zaidi halafu pia



    wewe huwa unakuwa shapu sana katika ufanyaji kazi ndio maana wamependekeza uifanye na mimi.



    Jamila alionekana kuafiki kwa shingo upande kuhusu kushirikiana na mimi katika lile jambo,

     basi tulifika kwake ambapo aliniacha mimi sebuleni kwake kisha yeye akaelekea chmbani kwake



    kwa ajili ya kujiandaa.

                                   **************************

    Ilikuwa ni mida ya saa mbili usiku wakati nipo zangu nyumbani kwangu nikitazama taarifa ya habari



    ndipo simu yangu ilipogiwa na namba ngeni, nilipopoke ile simu ikakata, basi nikaamua kuipigia ile



    namba mara akapokea kumbe alikuwa ni yule mmasai, “thatha yelo ulisema wewe nikikudeep



    utapiga thatha mona wapokea mpaka pesa yangu waimaliza yelo” alikuwa yule mmasai akilalamika



    baada ya mimi kupokea ile simu yangu. Nilimwambia asijali nitamtumia salio baada ya hapo kisha



    nikamwambia anijuze, ah nilikuwa nataka kukusalimu tu halafu huyu jirani ameingia muda huu basi



    fanya kuwahi kuja. Nilishituka kusikia vile halafu pia nlijiuliza ni vipi nitawahi kufika kule kwa



    maana kutoka mnazi mmoja mpaka kimara na kwa muda ule foleni ilikuwa ni kubwa sana.basi



    nilimjulisha ya kwamba hakuna shida nakuja, sawa usisahau zawadi yandu na vocha yangu, alimalizia



    yule mmasai.

    Nilimpigia simu Jamila ili kumjulisha ajiandae nimpitie kwani kazi tayari ailikuwa imeshaanza kwa



    bahati mbaya simu yake ikawa haipatikani,nililaumu sana kwa kile kitendo kwani wakati naondoka



    kwake nilimwambia kuwa muda wowote ningeweza kumuhitaji kwa ajili ya ile kazi,basi nilijipakia



    mimi mwenyewe kwenye gari yangu huku nikiwa nimechukua bastola yangu moja

                                *******************************

    Niliondoa gari pale kwangu kwa mwendo wa kasi sana huku nikijaribu kutanua sehemu zingine ili



    niweze kufika mapema, japo njiani kulikuwa na foleni kubwa sana lakini baada ya saa moja na robo



    nilkiuwatayari nimeshafika tayari maeneo ya jirani na ile nyumba nilipaki gari yangu umbali wa kama



    mita mia tano hivi kisha nikashuka na kisha kuanza kuelekea kwenye ile nyumba, nilisogea mpaka



    kwa nyuma ya ile nyumba kisha nikaangalia kama kulikuwa na upenyo wa kupita kuingia mule



    ndani, sikuona geti kwani nyumba ilikuwa imezungushiwa ukuta kwa kule nyuma na ulikuwa ni



    mrefu sana,nilihangaika nikaona kama nikifanya shambulizi la kushitkiza na kuingia mule ndani basi



    nitakuwa najiweka hatiani kwani yule mwanamke angewza kunisikia na kunidhuru kwa lolote lile



    ilinbidi nigahili kisha nihamie upande wa mbele wa ile nyumba nilipanda juu ya mti na kujibanza



    sehemu moja hivi ambapo palikuwa na kama tawi Fulani lililojaa majani mengi hivi, kupitia pale



    niliweza kuona kwa mbali mule ndani taa ikiwa imewaka huku yule mwanamke akionekana



    akizunguka mara huku mare kue mule ndani, nilijilaumu sana kwa kwenda peka yangu niliogopa



    yasije nikuta kama yale ya makaburini,nilijaribu kumpigia simu Jmila lakini ikawa haipatikani

    Basi niliona njia pekee pale ni kwenda tu moja kwa moja getini na kugonga kisha kuludi na kujifisha



    ili niweze kuon ni kipi kitanedelea, nilishuka chini ya mti na kwenda kugonga lile geti kwa nguvu



    sana kisha nkaludi kujificha kama nilivyokuwa nimepanga,yule mwanamke alionekana kushituka



    mule ndani, nadhani alijua tu ni raia wa kawaida basi akaja mpaka pale getini na kuchungulia



    hakuweza kuona mtu kisha akajirudisha ndani nahisi aifikiria watakuwa ni watoto tu wakifanya fujo,



    mwili ulinisisimka sana kwani ile sura ilikuwa sio ngeni kabisa machoni mwangu, nilihisi kama



    naifananisha sijui kutokana na lile giza,basi nikaona sio mbaya ngoja kwanza niendelee kuwa



    mvumilivu ili niweze kujua ni kipi kitaendelea.mara baada ya kama nusu sasa nikaweza kumuona



    yule mwanamke akitoka mule ndani ilikuwa yapata kama mida ya saa sita usiku hivi kuangalia vizuri



    ile sura ilikuwa ni sura ya Jamila, nilishituka sana nikataka kumuita kisha nikasita alitoka mule ndani



    kwa kasi ana huku akiwa kama mtu aliyekuwana wasiwasi, baada ya kuondoka lile eneo, na mimi



    nilishuka juu ya ule mti na kuanza kuelekeakwenye gari langu kuanza safari ya kuludi kwangu, huku



    kichwani nikiwa na maswali mwengi kichwani je Jamila ndio yule mwanamke? Au baada ya kufika tu



    ameamua kuanza nay eye kumfuatilia kimya kimya yule mwanamke? Nilijikuta najihoji maswali



    mengi sana bila ya majibu, maana kila siku niliona jambo jipya likizuka kila siku, nilondoka pale huku



    nikiona njia nzuri ni kumtega tu Jamila ili kujua kila kitu kama ni yeye ndio muhusika au na yeye



    ndio alikuwa anafuatilia.nilijikuta nakosa jibu la uhakika zaidi pindi nitakapokutana naye ndio niliona



    naweza pata jibu.

                               ***************************************

    Nilikutana na Jamila baada ya kumaliza mihangaiko yake ya mchana alikuja nyumbani kwangu



    ambapo alinikuta nikiwa bado nimelala sikuwa na haraka ya kuamka kwani kazini nilikuwa siendi



    hivyo muda mwingi nilikuwa nautumia tu kulala kama sina kazi nyingine ya kufanya.

    Basi baada ya kuingia ndani kwangu alipitiliza mpaka chumbani kwangu, aliniomba ruhusa ya kukaa

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    kwenye  kitanda changu ambapo na mimi bila ya hiyana nilimruhusu. Tulianza kuzungumza mambo



    mengi sana huku akinipa habari za hapa na pale,nilimuuliza kwa nini jana yake alizima simu usiku



    wakati nilikuwa namhitaji twende kumfuatilia mwanamke yule hatari alinijibu huku akiangalia



    pembeni yakwamba alikuwa amechoka sana hivyo basi ndio maana aliamua kuzima simu yake baada



    ya muda kumaliza kupata chakula cha mchana nilienda bafuni kuoga, wakati naludi nilimkuta Jamila



    akiwa kama kuna kitu akikisakanya mule chumbani kwangu ila baada ya kuniona akaacha, alijifanya



    kunipokea kwa maneno ya uongo na kweli huku macho yake yakiwa na wasiwasi sana. Mimi



    nilijifanya kama vile simuoni kisha nikamuomba anipishe nibadili nguo, aliondoka mule chumbani



    lakini akiwa na wasiwasi sana, baada ya mimi kumaliza kujiandaa nilimfuata pale sebuleni na



    kumuambia ya kwamba nilikuwa tayari hivyo kwa muda ule nilikuwa namuhitaji twende naye kimara



    kwenda kumfuatilia yule mwanamke, alinitazama kwa macho makali sana kisha akaniambia ya



    kwamba “hata kamishina nimemuambia ya kwamba mimi hiyo kazi siiwezi kabisa wewe endelea



    nayo peke yako tu” nilishangaa baada ya kusikia jibu lile kwani kusema kweli moja yaw au ambao



    tulikuwa tunawetegemea kwenye jeshi la polisi kaitka maswala ya upelelezi Jamila alikuwa ni mmoja



    wapo na dio maana hata jeshi liliamua kumpeleka nje yanchi kwenye ile kozi ya muda mfupi.

    Nilisogea kwenye kochi alililokuwa amekaa kisha na kuanza kumueleza kwa taratibu umuhimu wake



    yeye katika ufuatiliaji wa ile kesi, alinisikiliza kwa umakini sana huku machozi yakiwa kama



    yanataka kumtoka, alinivuta taratibu na kuegemea kifuani kwake kisha na kuniuliza kwa sauti yenye



    upole uliochanganyika na simanzi ya kwamba. Kwani Siwah inamaana mpaka leo hii MWANAMKE



    MWENYE KOVU JEUSI BADO HUJAMTAMBUA? Niliitika kwa kichwa huku nikimkazia macho

    Alinitazama sana kisha akaniambia basi leo utamjua ila naomba iwe siri yako na wewe ndio wa



    kumsaidia.

                                               *******************************

    Jamila alianza kunieleza ya kwamba yeye ndio Mwanamke mwenye kovu jeusi, ambaye muda wot



    sisi tulikuwa tukimtafuta na hata yale mauaji ni yeye ndio alikuwa akiyafanya kutokana na moyo



    wake uliokuwa umejaa simanzi na makovu mengi, alianza kwa kunihadithia historia ya maisha yake



    kwa urefu sana toka alipozaliwa ya kuwa baba yake alimkataa katakata kitu kilichokuja kumletea



    matatizo mama yake ambapo alifukuzwa nyumabani kwao, alizaliwa huku mama yake akiwa yule



    kwa rafiki yake ambaye na yeye umri ulikuwa ni mdogo sana huku aiwa anajishughurisha na biashara



    ndogondogo. Aliendelea kunieleza ya kwamba baada ya mama yake kumzaa alipofikisha umri wa



    kwenda shule alianza kusoma kwa tabu sana kwani mama yake kipndi hicho ilimbidi afanye kazi ya



    kuuza pombe kwenye vilabu vya usiku, anakumbuka siku moja mama yake aliludi usiku sana huku



    akiwa ameambatana na mwanaume mmoja kwani siku zingine ilikuwa kawaida kwa mama yake kuja



    na wanaume mule kwenye kile chumba walichokuwa wamepanga na kulala nao mule huku yeye



    akitandikiwa mkeka na kulala chini. Anadai baada ya kuingia mule ndani kwa kuwa siku ile mama



    yake alikuwa amelewa sana basi baada tu ya kufika mule ndani alilala, fofofo ambapo yule



    mwanaume baada ya kumuona akiwa amelala pale chini alijikuta akianza kumtamani, ambapo



    alimsogelea na kumbaka, roho ilimuuma sana kwani alikuwa na umri mdogo sana na hata mama yake



    alipojaribu kumuambia alionekana kutokujali kile kitendo zaidi ya kumuambia ya kwamba naona



    umeanza kuku asana mwanangu.kiukweli ilimuachia kovu kubwa sana moyoni

    Basi maisha yake yalikuwa ya hivyo hivyo ya kubangaiza hapa na pale baada ya kumaliza kidato cha



    nne aliweza kupata nafasi ya kujiunga na jeshi la polisi ambapo askari aliyesema atamuunganishia iyo



    nafasi nay eye pia alimtaka kimapenzi hakuwa na jinsi tena kwani maisha yalikuwa tayari



    yameshamtandika sana kwani hata sekondari nayo pia alisoma kwa shida shida sana. Alinitazama



    machoni Jamila huku machozi yakiwa yakimmtiririka kisha akaniambia ya kwamba tafadhari sana



    Siwah nakuomba unitunzie hii siri, sikuwa na kipingmizi kisha akendelea. Kuwa baada ya kuingia



    mafunzo ya polisi kuna siku moja alikuwa anaumwa hivyo basi yeye hakuenda kwenye mafunzo



    asubuhi ambapo baadaye mkuu msaidizi wa mafunzo alipita akiwa anakugua watu waliokuwa



    hawajaenda kwenye gwaride baada ya kumkuta alimfokea sana kisha akatishia kumuondoa kwa



    tatizo la uzembe, ilimbidi ambembeleze sana ambapo alimwambia sawa ila kama atakubali kulala na



    yeye( hapa nikavuta picha na majina yake yaliyokuwa kwenye orodha ya watu aliokuwa akitaka



    kuwauwa) alijifanya kunipokea kwa maneno ya uongo na kweli huku macho yake yakiwa na



    wasiwasi sana. Mimi nilijifanya kama vile simuoni kisha nikamuomba anipishe nibadili nguo,



    aliondoka mule chumbani lakini akiwa na wasiwasi sana, baada ya mimi kumaliza kujiandaa



    nilimfuata pale sebuleni na kumuambia ya kwamba nilikuwa tayari hivyo kwa muda ule nilikuwa



    namuhitaji twende naye kimara kwenda kumfuatilia yule mwanamke, alinitazama kwa macho makali



    sana kisha akaniambia ya kwamba “hata kamishina nimemuambia ya kwamba mimi hiyo kazi siiwezi



    kabisa wewe endelea nayo peke yako tu” nilishangaa baada ya kusikia jibu lile kwani kusema kweli



    moja yaw au ambao tulikuwa tunawetegemea kwenye jeshi la polisi kaitka maswala ya upelelezi



    Jamila alikuwa ni mmoja wapo na dio maana hata jeshi liliamua kumpeleka nje yanchi kwenye ile



    kozi ya muda mfupi.

    Niliguna baada ya kusikia vile nilijua moja kwa  moja nilikuwa nahisiwa kuhusika na kifo cha



    mkubwa wangu wa kazi,niliwaomba dakika kadhaa niweze kujiandaa kwani nilikuwa nipo kifua wazi



    huku nikiwa nimevaa suruali ya kulalia tu, waliniambia hukuna tatizo, nilijua ingekuwa ngumu kwa



    mimi kunipeleka kama watu wengine kwani baadhi yao pale nilikuwa nawazidi cheo ofisini, basi



    niingia ndani na kujiandaa kisha nikabeba na baadhi ya vitu kwenye mkoba wangu na kutoka kwa



    ajiliya kuanza safari ya kuelekea makao makuu muda ule ule wa jioni kwa ajili ya mahojiano kama

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    wao walivyokuwa wamenambia, niliinia kwenye ile discover ya polisi na kuanza kuelekea makao



    makuu.mule ndani ya gari wale wafanyakazi wenzangu walionekana kama ni watu waliokuwa



    wakinihofia sana kwani hata mazungumzo na mimi walkuwa wanazungumza kwa kusita siat asana



    hasa baadhi ya maswali ambayo nilikuwa nahitako ufafanuzi wao na ushirikiano wao.

     Nilijua tu itakuwa ni sumu iliyokuwa imesabazwa kuwa mimi nilikuwa nikishirikiana na yule muuaji



    katika kufanya yale matukio,kitu ambacho mimi kilinishangaza sana kwani sikuona ushirikiano baina



    ya mimi na yule mwanamkepia sikuona umuhimu wake ule wa kuuwa watu hovyo basi sikuwa na



    jinsi nianza kujiona kama mpweke Fulani hivi na mtu ambaye nilikuwa ninategwa na jamii bila ya



    sababu zisizo na maana, sikuwa na jinsi niona njia ya kulitatua lile tatizo ni moj tu nalo ni kuhakikisha



    yule mwanamke namkamata na kumfiksiha mbele yao hiyo ndio itakuwa njia yangu mimi kujosha



    kwani tofauti na pale bado jamii na wafanyakazi wenzangu watahisi ni mimi.

    Tulifika pale makao makuu ya iwzara ya mambo ya ndani, tulipanda moja kwa moja mpaka gorofa ya



    pili ambapo ndipo zilipokuwa ofisi za jeshi la polisi, baada kuingia mule ndani nilikutana na



    kamishina mkuu wa jehi la polishi idara ya upelelezi, akiwa yupo pamoja na wasaidizi wake watatu,



    alionekana kama mtu aliyekuwa na hasira sana ilyochanganyikana na hudhuni Fulani, nilihisi itakuwa



    sababu ya kifo cha yule mkuu wangu wa kazi kwani alikuwa ni rafiki yake sana hata pia ile nafasi ni



    yeye ndio aliyempatia kutokana na na kujuana kwao nilisika pia hata depo waliingia pamoja,nilkaa



    kwenye kiti pale mbele kisha wale wafanyakazi walionipeleka wao walitoka nje na kuniacha mule



    ndani nikiwa pamoja na wale ma ofisa wa pale makao makuuu, kamishina alinitazama kama dakika



    tano hvi bila ya kusema neon lolote huku machozi yakionekana kama yalikuwa yanamrenga renga,



    na mimi skitaka kuzungumza kitu kwanza niliendelea kusubli mpaka pale wao wenyewe



    watakapoamua kuanza mazungumzo, mara yule msaidizi wake akamwambia “mkuu tumuhoji basi



    haraka haraka ili tujue ni kipi cha kuendelea nacho” kamishina alionekana kama vile kushituka kama



    ni mtu aliyekuwa akiwaza mbali sana ndipo alipoanza kuniuliza maswali mbali mbali kuhsu yule



    mwanamke namjua vipi nahusika vipi kwa nini wenzangu wanishitumu kwamba namjua na



    nashirikiana nae katika kumpa habari,

    roho iliniuma sana baada ya kusikia kauli eti wenzangu wananishutumu.sikuamini kusikia vile, nilikaa



    kimua wakazungumza mule kwa takiribani dakika kumi na tano kisha na mimi ndipo nikafungua



    mdomo wangu kuanza kuwajibu, nilimueleza kila kitu ya kwamba yule mwanamke alikuwa ni mtu



    makini sana tofauti na sisi tulivyokuwa tunafikria, walitega sikio kwa makini kusikia kipi nilichokuwa



    nazungumza niliendelea kuwapasha ya kwamba mimi  naona kama nilikuwa tu nimetolewa kafara na



    mkuu wangu hasa baada ya kuona kazi inakuwa ngumu au kwa sababu matukio mengi yaliyokuwa



    yakimuhusu yule mwanamke nilikuwa nakutana nayo mimi au nahusika nayo,alinitazama usoni



    akionekana kabisa kuna kitu alikuwa akikisoma usoni kwangu kisha akaniambia ya kwamba na je



    ninajua vipi kuhusu kifo cha merehemu inspekta Thomas, nilimwambia kwa kweli mimi taarifa



    nilikuwa nazo lakini sikuwa najua lolote kuhusu kile kifo,

    alinitazama na kisha hapo hapo akanipandishia swali jingine, je kwa nini nilikuwa sipatikani kwenye



    simu na kwenye msiba sikuwepo pia hata kwangu sikuwepo kama taarifa nilikuwa nazo, ilinibidi



    niwaeleze ukweli wote kwani nilijua kwamba bila vile wangeendelea kuwa na imani na mimi,



    niliwaeleza kila kitu kutoke siku ile nilipoambiwa ya kwamba nimesimamishwa kazi mpaka safari



    yangu ya Tanga na mwisho ile safari yangu ya visiwa vya shelisheli, niliwaeleza ya kuwa japo



    nilikuwa nimesimamishwa kazi lakini mimi kama ninilikuwa bado naendelea na ile kazi



    mwenyewe,walionekana kama vile walikuwa hawaniamini

    ,basi kama nilikuwa najua nilitoa tiketi ya ndege kutoka kwenye moja ya bahasha niliyokuwa



    nimetoka nayo nyumbani pamoja na na risiti za hoteli kule  visiwa vya sheli sheli walionkena kuanza



    kujenga imani tena na mimi. Basi baada ya yale mazungumzo yule kamishina mkuu aliniambia ya



    kwamba sasa itanibidi mimi niendelee na ule upelelezi bila ya kumjulisha mtu yoyote hasa wale



    niokuwa nafanya nao kazi kisha niwe nalipoti kwake, aliniambia ya kwamba taarifa alizokuwa nazo



    ni kuwa Jamila analudi kesho hivyo basi nayeye atamuunganisha na mimi kufanya ile kazi bila ya



    kuingiliana na na akina Amina, nilimshukuru sana kwa kuonyesha ule uelwewa,

     basi pale pale nilitoa baadhi ya vifaa ambavyo nilkuwa nimevipta ambavyo nilivihisisha moja kwa



    moja na yule mwanamke, walivitazama sana, kisha nikamuona kamisjina akiguna baada ya kuona



    kile kitabu kilichokuwa na namba za simu “mh mbona huu mwandiko kama vile naujua” alizungumza



    alijaribu kuvuta kumbukumbu pale bila ya kukumbuka ila akendelea kusisitiza ya kwamba ule



    mwandiko anauhakika kabisa alikuwa anaujua, alishangaa sana baada ya kukutana na plani za watu



    waliokuwa kwenye malengo ya yule mwanamke walizidi kuhoka sana, ndipo mkuu akaanza



    kunisisitiza tena nijitahidi basi asije leta madhara zaidi ya pale kwani mpaka pale ilikuwa ni doa



    kubwa sana kwenye jeshi la polisi, nilimwambia hakuna shida ile kazi hata mimi nimedhamiria



    kuifanya kwa nguvu zote li kuondoa ile dhana iliyokuwa imejengeka kwa wafanyakazi



    wenzangu.basi tulimaliza yale mazungumo huku mkuu wangu akinihakikishia kunipa msaada wowote



    ule ambao ningeutaka lakini ahakikishe tu kina Amina wasijue kama na mimi nilikuwa nafuatilia ile



    kesi, pia walinishukuru sana kwa ule moyo wangu niliouonyesha mpaka kutumia gharama zangu



    binafsi kwenye mpaka visiwa vya sheli sheli kwenda kumfuatilia yule mwanamke.

                                    ********************************

    Baada ya kumaliza kujihakikishia upekuzi tena wa ile simu ya yule mwanamke nilielekea asubuhi na



    mapema kwenye ofisi za tume ya mawasiliano ambapo nilikutana tena na afisa huyu akiwa ni



    mwingine kabisa ambaye alikuwa ni kijana mdogo sana akionyesha kama ni mtu aliyekuwa ametoka



    masomoni sio muda mrefu sana, nilizungumza naye pale kisha nikatoa kitambulisho changu ambapo

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    baada ya kukiona ndipo nikaanza kumuelezea  sababu za mimi kuwa pale ofisini kwake asubuhi yote



    ile  alinisikiliza kwa makini kisha akachuka ile namba ya simu ya yule mwanamke na kuiingiza



    kwenye laptop yake ambapo aliangalia location ambapo ile namba ilikuwa inasoma mara kwa mara



    ilionekana ilikuwa inasoma mitaa ya kimara, alizidi kupekuwa mpaka umbali wa mahali ilipokuwa



    inasoma ile namba kutokea kwenye mnara wa simu, baada ya pale aliiprinti karatasi ikionyesha



    umbali wa mahali ambapo ule mnara ulikuwa ukisoma alinikabidhi huku akinijulisha kwamba kama



    kukiwa na shida nyingine basi nisisite kumfuata tena,nilipokea ile karatasi na kumshukuru kisha



    nikatoka nje na kuanza safari ya kuelekea pale kimara baruti ambapo ndipo mahali ile namba ilikuwa



    ikisoma.

    Nilifika kimara na kisha kuelekea kule mahali nilipokuwa nahitaji kufika kwa ajili ya kuliona lile eneo



    nilitembea zaidi ya nusu saaa bila ya kuona ile ramani ambayo nilkuwa nayo mpaka ikanibidi



    niwauliza baadhi ya watu njiani ambao baada ya kunielekeza ndipo nikaendelea na safari yangu



    nilifika mpaka wenye ule mnara uliokuwepo kwenye ramani kisha nikatoa tena ramani yangu na



    kuanza kuangalia mwelekeo tena, niliiweza kuifuata mpaka nikafika kwenye ile nyumba kwani



    haikuwa mbali sana na ule mnara.

    Nyumba yenyewe ilikuwa imejitenga kidogo huku ikionyesha dhahiri ya kwamba haikuwa na muda



    mrefu tokea imalizike ujenzi wake, basi nilijaribu kugonga moja kwa moja pale mlangoni kwani uzio



    wake haukuwa umekamilika vizuri hivyo hata geti ulikuwa bado haujawekewa, niligonga sana bila



    hata ya kupata majibu mwisho nikaelekea nyumba ya jirani ili niweze japo kupata habari mbili tatu



    kuhusu mkazi wa ile nyumba,niliweza kukutana na mlinzi mmoja wa kimasai wa ile nyumba ya jirani



    baada ya kumsalimia ndipo nilipoanza kumuulizia kwanza alikuwa anaonyesha tabu kujibu mara,



    hamjui mara yeye sio mlinzi wa iyo nyumba hivyo hajui kitu chochote lakini baada ya kumbembeleza



    sana huku nikimdanganya ya kwamba nilikuwa nimeambiwa ya kwamba dada yangu alikuwa ndio



    anakaa pale mimi ni mgeni nimetoka Morogoro nina mud asana nilkuwa sijafika dar hivyo basi baada



    ya kufika na kuulizia ndipo nilipoambiwa ya kwamba alikuwa amehamia kwenye nyumba ile, yule



    mmasai alinitazama kisha akaniambia ya kwamba, siku hizi hakuna cha bure nimpe hata pesa ya soda



    ndipo aweze kuniambia.

    Sikuonyesha kusit kwani kwangu jambo muhimu lilikuwa ni kupata habari tu basi nilitoa shilingi elfu



    tano na kumpa, alishangaa sana kwani alijua labda nitampa elfu moja au mbili, basi hakuamin baada



    ya kumwambi ya kwamba achukue yote, aliifunga kwenye kona moja ya shuka lake la kimasai kisha



    ndipo akaanza kuniambia habari za kuhusu yule mwanamke alisema ya kwamba yeye hakuwa



    anamjua sana kwani huwa anaingia usiku au jioni huku akiwa na gari au piki piki na mara nyingi



    huwa anavaa anajifunika sana kiasi kwamba inakuwa vigumu sana kumuona, nilimuuliza mara ya



    mwisho kumuona ilikuwa ni lini aalinijibu ya kwamba kama siku tatu zilizopita na sio kawaida yake



    kwani mara nyingi huwa anapita kila siku,.

    Basi nilivuta pumzi na kisha kumuuliza kama akimuona kwa sura atamkumbuka, aalisita kisha



    akasema, sizani kwa maana ni mtu ambaye huwa anapita ahuk akiwa na haraka haraka sana



    nilimuuliza pia kama huwa kuna wageni wanakuja kumtembelea alisema toka yule mwanamke aanze



    kukaa ile nyumba hajawahi kuona mtu yoyote yani mimi ndio nilikuwa mtu wa kwanza kja na



    kumuulizia kwani inaonekana yule mwanamke huwa anakuwa yupo bize sana,

     basi nilimshkuru kisha nikaanza kuondoka, basi yule mmasai akaniuliza sasa kama akija nimuambie



    nani kaja, nilisimama kisha nikamsogelea na kuanza kumwambia kwa sauti ya taratibu ya kwamba



    asimwambie lolote kisha nikampa namba yangu na kumwambiaya kwamba wewe ukimuona amekuja



    wewe nibeep mimi  nitakuja pia kutakuwa na zawadi yako nono,yule mmasai alionekana kufurahi



    sana kusikia kuwa nitampa zawadi. “sasa mtu mwenyewe huwa akija hakai sana unaweza kuja na



    usimkute” alinimabia yule mmasai basi na mimi nikamjulisha ya kwamba asiwe na wasiwasi kwani



    mimi nilikuwa naishi mazingira yale yale jirani hivyo hofu aondoe kabisa.

                                    ***********************************

    Nilifika uwanja wa ndege mida ya asubuhi na mapema kwa ajil ya kwenda kumpokea Jamila ambaye



    alikuwa mafunzoni nje ya nchi huku akiwa ameenda kujifunza kozi fupi ya mambo ya social



    intelligence  nilipaki gari yangu sehemu ya kuegeshea magari kisha nikaenda moja kwa moja sehemu



    ya kusubilia wageni,nilikuwa nimewahi kama muda wa dakika arobaini hivi kabla ya muda wa ile



    ndege ya KLM kufika, basi baada ya muda ile ndege ilifika namimi nilijiamisha na kuhamia sehemu



    ya kutokea abiria, baada ya dakika tano nilimuona Jamila  akiteremka huku akiwa ameshika begi lake



    dogo akiliburuta na mkoba wake mingine ukiwa kwapani, basi nilimsogelea na kumkumbatia huku



    nay eye akionyesha tabasamu pana kidogo kisha tukasalimiana pale, Jamila alionekana kufurahia



    sana mimi muda ule wa asubuhi yote kuwa pale kwa ajili ya kumpokea, aliongea kwa utani,ulilala



    ukinota nini?  Basi tulipanda kwenye gari yangu na kuanza safari ya kuelekea nyumbani kwake



    alikokuwa amepanga alikuwa amepanga magomeni. Ndani ya gari tulizungumza  mambo mengi sana



    huku mimi nikimwambia afadhali ameludi kwani mwanamke mwenye kovu jeusi bado anaendelea



    kusumbua jiji, alinitazama kwa macho ya hudhuni Fulani huku akionekana kama ni mtu aliyehisi kitu



    Fulani kisha akaniambia, inamaana mmeshindwa kumdhibiti , nimitamzama kisha nikamwambia ya



    kwamba pale tulikuwa tukimsubili yeye na yeye pia ajalibu kumkamata kama ile kazi likuwa ni rahisi,

    nilimwambi kwani barua zangu pepe ulikuwa huzipati? Hali imekuwa mbaya sana juzi nilikuwa



    makao makuu waliniambia ya kwamba wewe ukifika tu utajumuika na mimi katika kufuatilia hili



    jambo kwa siri bila ya kuingiliana na kina Amina, aliguna kisha akajikuta anasema ya kwamba



    hapana katika hili jambo mimi mtanitaka radhi kabisa sitoweza kuifuatlia bora nipewe majukumu



    mengine, nilimmwambia kwa upole sasa Jamila hiyo kozi uliyokuwa umeenda kuisoma huko

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Marekani imekusaidia nini wakati mkuu wetu ameona ya kwamba wewe ndio utafaa zaidi halafu pia



    wewe huwa unakuwa shapu sana katika ufanyaji kazi ndio maana wamependekeza uifanye na mimi.



    Jamila alionekana kuafiki kwa shingo upande kuhusu kushirikiana na mimi katika lile jambo,

     basi tulifika kwake ambapo aliniacha mimi sebuleni kwake kisha yeye akaelekea chmbani kwake



    kwa ajili ya kujiandaa.

                                   **************************

    Ilikuwa ni mida ya saa mbili usiku wakati nipo zangu nyumbani kwangu nikitazama taarifa ya habari



    ndipo simu yangu ilipogiwa na namba ngeni, nilipopoke ile simu ikakata, basi nikaamua kuipigia ile



    namba mara akapokea kumbe alikuwa ni yule mmasai, “thatha yelo ulisema wewe nikikudeep



    utapiga thatha mona wapokea mpaka pesa yangu waimaliza yelo” alikuwa yule mmasai akilalamika



    baada ya mimi kupokea ile simu yangu. Nilimwambia asijali nitamtumia salio baada ya hapo kisha



    nikamwambia anijuze, ah nilikuwa nataka kukusalimu tu halafu huyu jirani ameingia muda huu basi



    fanya kuwahi kuja. Nilishituka kusikia vile halafu pia nlijiuliza ni vipi nitawahi kufika kule kwa



    maana kutoka mnazi mmoja mpaka kimara na kwa muda ule foleni ilikuwa ni kubwa sana.basi



    nilimjulisha ya kwamba hakuna shida nakuja, sawa usisahau zawadi yandu na vocha yangu, alimalizia



    yule mmasai.

    Nilimpigia simu Jamila ili kumjulisha ajiandae nimpitie kwani kazi tayari ailikuwa imeshaanza kwa



    bahati mbaya simu yake ikawa haipatikani,nililaumu sana kwa kile kitendo kwani wakati naondoka



    kwake nilimwambia kuwa muda wowote ningeweza kumuhitaji kwa ajili ya ile kazi,basi nilijipakia



    mimi mwenyewe kwenye gari yangu huku nikiwa nimechukua bastola yangu moja

    Niliondoa gari pale kwangu kwa mwendo wa kasi sana huku nikijaribu kutanua sehemu zingine ili



    niweze kufika mapema, japo njiani kulikuwa na foleni kubwa sana lakini baada ya saa moja na robo



    nilkiuwatayari nimeshafika tayari maeneo ya jirani na ile nyumba nilipaki gari yangu umbali wa kama



    mita mia tano hivi kisha nikashuka na kisha kuanza kuelekea kwenye ile nyumba, nilisogea mpaka



    kwa nyuma ya ile nyumba kisha nikaangalia kama kulikuwa na upenyo wa kupita kuingia mule



    ndani, sikuona geti kwani nyumba ilikuwa imezungushiwa ukuta kwa kule nyuma na ulikuwa ni



    mrefu sana,nilihangaika nikaona kama nikifanya shambulizi la kushitkiza na kuingia mule ndani basi



    nitakuwa najiweka hatiani kwani yule mwanamke angewza kunisikia na kunidhuru kwa lolote lile



    ilinbidi nigahili kisha nihamie upande wa mbele wa ile nyumba nilipanda juu ya mti na kujibanza



    sehemu moja hivi ambapo palikuwa na kama tawi Fulani lililojaa majani mengi hivi, kupitia pale



    niliweza kuona kwa mbali mule ndani taa ikiwa imewaka huku yule mwanamke akionekana



    akizunguka mara huku mare kue mule ndani, nilijilaumu sana kwa kwenda peka yangu niliogopa



    yasije nikuta kama yale ya makaburini,nilijaribu kumpigia simu Jmila lakini ikawa haipatikani

    Basi niliona njia pekee pale ni kwenda tu moja kwa moja getini na kugonga kisha kuludi na kujifisha



    ili niweze kuon ni kipi kitanedelea, nilishuka chini ya mti na kwenda kugonga lile geti kwa nguvu



    sana kisha nkaludi kujificha kama nilivyokuwa nimepanga,yule mwanamke alionekana kushituka



    mule ndani, nadhani alijua tu ni raia wa kawaida basi akaja mpaka pale getini na kuchungulia



    hakuweza kuona mtu kisha akajirudisha ndani nahisi aifikiria watakuwa ni watoto tu wakifanya fujo,



    mwili ulinisisimka sana kwani ile sura ilikuwa sio ngeni kabisa machoni mwangu, nilihisi kama



    naifananisha sijui kutokana na lile giza,basi nikaona sio mbaya ngoja kwanza niendelee kuwa



    mvumilivu ili niweze kujua ni kipi kitaendelea.

    mara baada ya kama nusu sasa nikaweza kumuona yule mwanamke akitoka mule ndani ilikuwa



    yapata kama mida ya saa sita usiku hivi kuangalia vizuri ile sura ilikuwa ni sura ya Jamila, nilishituka



    sana nikataka kumuita kisha nikasita alitoka mule ndani kwa kasi ana huku akiwa kama mtu



    aliyekuwana wasiwasi, baada ya kuondoka lile eneo, na mimi nilishuka juu ya ule mti na kuanza



    kuelekeakwenye gari langu kuanza safari ya kuludi kwangu, huku kichwani nikiwa na maswali



    mwengi kichwani je Jamila ndio yule mwanamke? Au baada ya kufika tu ameamua kuanza nay eye



    kumfuatilia kimya kimya yule mwanamke? Nilijikuta najihoji maswali mengi sana bila ya majibu,



    maana kila siku niliona jambo jipya likizuka kila siku, nilondoka pale huku nikiona njia nzuri ni



    kumtega tu Jamila ili kujua kila kitu kama ni yeye ndio muhusika au na yeye ndio alikuwa



    anafuatilia.nilijikuta nakosa jibu la uhakika zaidi pindi nitakapokutana naye ndio niliona naweza pata



    jibu.

                               ***************************************

    Nilikutana na Jamila baada ya kumaliza mihangaiko yake ya mchana alikuja nyumbani kwangu



    ambapo alinikuta nikiwa bado nimelala sikuwa na haraka ya kuamka kwani kazini nilikuwa siendi



    hivyo muda mwingi nilikuwa nautumia tu kulala kama sina kazi nyingine ya kufanya.

    Basi baada ya kuingia ndani kwangu alipitiliza mpaka chumbani kwangu, aliniomba ruhusa ya kukaa



    kwenye  kitanda changu ambapo na mimi bila ya hiyana nilimruhusu. Tulianza kuzungumza mambo



    mengi sana huku akinipa habari za hapa na pale,nilimuuliza kwa nini jana yake alizima simu usiku



    wakati nilikuwa namhitaji twende kumfuatilia mwanamke yule hatari alinijibu huku akiangalia



    pembeni yakwamba alikuwa amechoka sana hivyo basi ndio maana aliamua kuzima simu yake baada



    ya muda kumaliza kupata chakula cha mchana nilienda bafuni kuoga, wakati naludi nilimkuta Jamila



    akiwa kama kuna kitu akikisakanya mule chumbani kwangu ila baada ya kuniona akaacha,



    Nilisogea kwenye kochi alililokuwa amekaa kisha na kuanza kumueleza kwa taratibu umuhimu wake

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    yeye katika ufuatiliaji wa ile kesi, alinisikiliza kwa umakini sana huku machozi yakiwa kama



    yanataka kumtoka, alinivuta taratibu na kuegemea kifuani kwake kisha na kuniuliza kwa sauti yenye



    upole uliochanganyika na simanzi ya kwamba. Kwani Siwah inamaana mpaka leo hii MWANAMKE



    MWENYE KOVU JEUSI BADO HUJAMTAMBUA? Niliitika kwa kichwa huku nikimkazia macho

    Alinitazama sana kisha akaniambia basi leo utamjua ila naomba iwe siri yako na wewe ndio wa



    kumsaidia Jamila alianza kunieleza ya kwamba yeye ndio Mwanamke mwenye kovu jeusi ila alikuwa



    akiomba msaada wangu kuniepusha na mikono ya haki.



    MWISHO

0 comments:

Post a Comment

Blog