Search This Blog

Sunday 19 June 2022

KAFA NA UTAMU WAKE - 3

 





    Simulizi : Kafa Na Utamu Wake

    Sehemu Ya Tatu (3)





    Sauti ya Maji yakimwagika kuashiria Jorome keshamaliza kuoga na ndio alikua akijisuuza ilimvunja nguvu za kugonga mlango wa bafu na kumnyong'onyeza Serena akakaa chini. Giant akakimbia mpaka alipo Serena "Treanz" {Vipi} "Cosx ners showzx" {Tayari keshaoga} Kabla hajajibu Bibi Lizbeth alikuwa keshafika pale mlangoni huku kajifunga Taulo. "Treanz dos?" {Vipi nyie} "Cosx ners showzx" {Tayari keshaoga} Giant alimjibu bibi lizbeth huku kainamisha kichwa chini. Kauli ile ilipenya moja kwa moja katika akili ya bibi Lizbeth machozi yakalowanisha mashavu yake Maneno ya Dr. Leonard Thomson yakajirudia kichwani kwake. "You never Find Ant Trixomic any where in this world, any user must die" {Huwezi pata tiba ya sumu ya Trixomic, Mtumiaje yeyote lazima afe"

    ...........................................................





    Sasa Endelea....................





    Tina akapigwa na butwaa baada ya kuona Mary Stela akishtuka baada ya kumtajia Jina la Mrs, Jorome. "Vipi kwani, Ndiyo naitwa Mrs Jorome" Mary stela akashusha pumzi na kushika tumbo lake kama anafikiria kitu. "Sawa unaelekea wapi naweza kukupa lifti" "Naelekea Kinondoni kwa Manyanya" Tina alijibu huku macho yake yakiangalia Gari aina ya Oppa iliyopembeni ya fensi ya Ile hospitali. Mary Stella akatangulia na kuingia kwenye gari akamfungulia Tina mlango wa nyuma, Tina akaingia na kukaa, Mary Stela akaondoa Gari Polepole huku akionekana ni mwenye mawazo. "Kama kweli hicho kimimba chake ni cha Jorome wangu hatoshuka kwenye hii gari akiwa mzima" Mary Stela alikua akiwaza huku akipapasa chini ya siti aliyokalia na kuvuta panga akiliweka vizuri. Eeh ulisema Mume wako anaitwa Jorome kwani huyo Jorome anaishi Machimbo Yombo?" Tina kwa dharau akaimuangalia Mary stela kwa pembe ya j icho lake. "Mume wangu hana hadhi ya kukaa Yombo, Yeye anaishi Ikulu." "Anaishi ikulu?" Mary Stela aliuliza huku akitabasamu. "Ndio ni afisa wa ikulu na sasa ni mwezi wa tano tokea aende Taiwan kikazi" Mary stela akashusha pumzi ya ushindi na kusukuma lile panga kwa mkono likakaa sehemu yake lilipokuwa.



    ...............................................................



    Jorome anapandisha mguu kwenye sinki la kuogea kabla mguu haujakutana na povu la maji Macho yake yakagongana na kioo kilicho ukutani akajiona akiwa amevaa chupi kupitia kioo. Akatabasamu na kurudisha mguu akarudi taratibu na kupita chini ya Bomba la mvua lililotundikwa juu mara maji yakaanza kumwagika, Jorome akaruka pembeni mara maji yakaacha kutoka. Jorome akashangaa yale maji yanavyotoka yenyewe bila kufunguliwa. "Mh kweli mjini shule" Jorome aliongea mwenyewe huku akivua nguo ya ndani na kusogelea lile Pomba mara maji yakatoka akasogea pembeni yakaacha. Wakati Jorome akicheza na bomba la Mvua linalotoa maji lenyewe bila kufunguliwa ndio muda Serena, Bibi Lizbeth na Giant walikua mlangoni. "Ah siwezi oga kwenye mapovu wakati Maji masafi yapo" Jorome alisema huku macho yake yakitazama lile sinki la Kuogea. Maji yanayotoka katika Bomba la mvua tayari yalikuwa yakiulowanisha mwili wake huku akijisugua kwa kutumia viganja vyake vya mikono.



    ......................................................



    Bibi lizbeth akiwa anafuta machozi kwa viganja vya mikono yake. "Posef greig foruad" { Fanyeni mpango wa safari } Serena alimuangalia bibi lizbeth akiondoka kuelekea kwenye meza, Bibi Lizbeth akasogelea pochi yake na kutoa kitabu kidogo cha rangi ya Buluu na kuandika kitu juu ya karatasi ya kile kitabu. Mlango wa Bafu ulifunguliwa na kuwashtua wakina Giant na wakajifanya walikuwa wakiangalia kitu pembeni ya lile bafu. Bibi Lizbeth alimuangalia Jorome kwa huruma kisha akamkabidhi karatasi ndogo aliyochana kutoka kwenye kile kitabu. Macho ya Jorome yakatua kwenye maaandishi madogo yaliyosomeka. "Fifty Thousand Euro" { Euro Elfu hamsini } Jorome Hakuamini kama ana hundi ya Euro Elfu hamsini mkononi. akaigeuza ile hundi kwa nyuma akakutana na sahihi ya Bibi Lizbeth. Kwa furaha akatoa tabasamu na kuibusu ile hundi aliyopewa na bibi Lizbeth. Jorome akavaa nguo zake haraka haraka huku bibi Lizbeth akimuangalia kwa huruma. Jorome alipomaliza kuvaa nguo akamuangalia bibi Lizbeth na kushtushwa na machozi yaliyokuwa yakilowanisha Mashavu ya yule bibi. Sababu ya kutokujua kuzungumza kingereza ilimfanya abaki kama bubu akaimsogelea Bibi Lizbeth na kumfuta machozi. Giant akaja akamshika mkono Jorome na kutoka nae nje.



    .............................................................



    Mlio wa Ujumbe kuingia katika simu yake ndio uliomshtua binti mrembo anayechanganya vichwa vya wanaume wengi Tanzania na ni binti anayeuza magazeti mengi ya Udaku Tanzania. Akijiinua kivivu na kukaa kihasara hasara bila kujali mtu yeyote kwa kuwa alikua peke yake ndani akasogeza mkono wake na kuchukua simu. Akakutana na Ujumbe toka Tigo Pesa. "Umepokea kiasi cha shilingi 500000.00 kutoka kwa Jorome Muba salio lako jipya ni....." Kabla hajamalizia kusoma ule ujumbe mara ukaingia ujumbe mwingine. Pole kwa usumbufu ulikosea kutuma fedha ukatuma kwangu sasa nimekuongezea sifuri moja katika fedha ulizotuma sababu ya usumbufu ulioupata. Mimi Jorome" Ujumbe ule ulimshtua Trovina na kupiga ile namba jibu alilokutana nalo nni " Namba unayopiga kwa sasa inatumika, Tafadhali subiri au jaribu kupiga tena baadae" Trovina akashusha simu kinyonge kutoka sikioni na kujilaza pale kitandani huku akiangalia simu yake. "Pole nitakupigia baadae" Ni ujumbe mwingine ulioingia kwenye simu ya Trovina toka kwa Jorome.





    ............................................................



    Ikiwa ni Usiku wa saa Tano usiku Mwaj kakaa nje ya chumba chake, Mkononi kashika kitabu cha hadithi ya CHOKORAA kilichoandikwa na Muandishi maahiri George Iron Mosenya, Kwa kutumia Mwanga wa kandili iliyo juu ya stuli aliweza kuona vyema maandishi yenye kuleta burudani katika Nafsi yake. "Mambo" Sauti ya kiume ilimtoa Mwaj katika Mtiririko wa Matatizo ya Chokoraa George aka Bonge na kurudi kujikuta akikunja sura huku akinyanyua uso wake kumtazama mtu aliyemtoa katika starehe yake. Macho yake yakagongana na Sura mbaya ya Jorome. Mwaj akajenga Tabasamu pana na kumkimbilia kisha akamshika mkono huku mkono mwingine ukiwa umebeba Taa na kitabu akimvuta ndani kwake. Jorome kwa Tahadhari akakaa juu ya kochi kuu kuu lililotandikwa vitambaa vyeupe ndani ya chumba kimoja chenye kabati kitanda kochi na jiko humo humo. Mwaj akamuangalia Jorome kwa Uchangamfu huku akifungua kitu kutoka katika pindo la kanga yake. "Unakunywa nini?" Ni swali lililotoka kwa Mwaj kwenda kwa mtaalamu Jorome. "Aah dada yangu saa hizi ninywe nini si itakuwa ni kufuru" "Jamani kunywa hata maji basi?" "Hapana usijali" Jorome alijibu huku akisimama na kuelekea mlango wa kutoka nje. Mikono milaini ya Mwaj ilimshika mkono kumzuia Jorome na Kwa haraka Mkono mmoja wa Mwaj ukazana ndani ya koti la suti la Jorome na kuanza kupapasa kifua cha Jorome. Jorome akimtoa Mwaj ule mkono. "Subiri kwanza" Jorome alimwambia Mwaj huku akirudi nyuma. Mwaj akageuka na kufunga mlango kisha akadondosha kanga yake na kubakiwa na kufuli lililofunika duka lake vyema. "Joto kali la mahaba lilimpanda Jorome na kujikuta Suruali yake ipo jini huku Mwaj akicheza na pingili ya muwa wake kwa papi za midomo yake. Safari iliishia kitandani huku Mwaj akipiga kelele za mahaba kwa kupata kile alichokifuata kwa Mzee Paka Chui. Ufundi wa fundi ndio uliomfanya Mwaj kupiga kelele za utamu huku akimsifi fundi kwa ufundi wake uliowazidi mafundi wengine. "Utanipa kila siku" Ni sauti ya Mwaj ikitokea puani ilikua ikimuuliza Jorome wakati akivaa nguo zake.



    ................................................................................



    Bastola ndogo aina ya Revolvo ilikuwa imekaa vyema katika pochi yake iliyobanwa kwapani, Wigi refu lililolala Mgongoni ndilo lililobadilisha muonekano wa Msichana huyu na kumfanya aonekane mrembo zaidi. Viatu aina ya Travotra vilivyofunika Miguu yake vyema huku suruali iliyombana vyema ikanata na ngozi yake ikipanda na kukamata kiuno chake sawia kisha kuongezewa na mkanda mkubwa wa rangi nyeusi. Miwani ya jua iliyoziba macho yake haikuruhusu mtu kuyaona macho ya mrembo huyu na Big G aliyokuwa akitafuna kwa pozi iliendelea kulalamika taratibu kwa vishindo vya meno ya juu na ya chini yaliyokuwa yakiikanyaga Big G hiyo. Ni Chauremo Msichana mwenye roho mbaya na asiye na huruma pale anapoamua kutoa Roho ya Mtu. Tayari alikuwa na Simu mkononi na alikua akisikiliza simu yake ili iweze kupokelewa na Jorome. "Hallow Naitwa Nadya, Naongea na Jorome?" Chaurembo alidanganya. "Sasa mpenzi naomba tuonane pale Parm Beach mida ya Saa nne usiku nimekumiss sana" Chaurembo aliendelea kumshawishi Jorome. "Ok Mpenzi wangu Usiache basi, Mmh mwaah" Chaurembo alimaliza kuongea na simu kisha akakata simu na kutabasamu kwa ushindi. " Mwanaume malaya huyu, Kwisha kazi yake"



    .........................................................



    Jorome alichanganywa na simu ya Chaurembo, Akaweka simu yake mfukoni na kuingia ndani ya Benki ya Swiss Cash moja kwa moja mpaka Dirishani Macho yake yakagongana na Trina. "Eh una mimba" Ni swali lililopenya moja kwa moja katika ngoma za masikio ya Trina na kutengeneza chuki moyoni. "Hayakuhusu nikusaidie nini?" Trina alijibu. "Oh samahani" Jorome akatoa ile hundi na kumpa Trina. "Mama yangu" Trina alipigwa na mshangao baada ya macho yake kutua katika maandishi yanayoonyesha kiasi kikubwa cha fendha kinachotarajiwa kuingia katika akaunti ya Jorome kupitia ile hundi, Aliponyanyua macho akakutana na Burunguti la pesa juu ya meza huku Jorome akitabasamu. "Pole naona umemshtua mtoto hiyo ni pesa ya kumtuliza mtoto, Naomba nihudumie niondoke" Jorome alimjibu Trina. Trina kwa kigugumizi huku akimpa Jorome ile Hundi. "Samahani kaka yangu Nenda dirisha lile pale ndio wanahusika na Hundi. Trina alimuangalia Jorome akielekea katika lile Dirisha huku akimshangaa jinsi alivyo mchafu. "Mh mtu mwenyewe Mmbaya, Mchafu, Hajachana nywele huyu atakua ni usalama wa Taifa Tu si Bure" Trina alisema mwenyewe huku akizidi kumuangalia Jorome.



    ....................................................................



    Ni saa nne na nusu katika Hotel ya Parm Beach, Pembezoni mwa bahari ya hindi amekaa msichana mrembo kavaa gauni fupi na mdomoni kajipaka rangi ya mdomo ya pink iliyofanana na viatu vyake. Bastola aina ya Revolvo ikiwa tayari mkao wa kuua katika pochi yake iliyo wazi chini ya meza huku akiwa kakaa kwenye kiti na pembeni yake kuna kiti kitupu. Chaurembo akiwa mwenye wasiwasi akitazama saa yake kila mara mara anahisi kuna mtu anakuja nyuma yake. Kugeuza shingo anakutana na Sura ya ajabu ya Jorome. Kwa tabasamu la bandia akamkaribisha jorome na kuketi. "Huyu simpi hata nusu saa mwanaume gani huyu" Chaurembo alipitisha maamuzi yake kichwani harakaharaka huku akipeleka mkono wake katika Pochi yake akivuta Bastola yake Tayari kukamilisha kazi.



    .......................





    Kelele za Radio, Wateja na Mingurumo ya magari yaliyokuwa yakipita nje ya saloon anayofanya kazi vilikuwa vikimkera kupita kiasi. Wingi wa wateja waliokuwa wakitaka huduma kutoka kwake ilipelekea kuchelewa kufunga Saloon. Kila baada ya kazi huwai nyumbani kwake na kuoga kisha huenda kupata chakula cha jioni katika Hotel ya Parm Beach, Hupenda huduma nzuri na vyakula vizuri kutoka katika hoteli hiyo. Kinachomfanya apende kwenda kila siku usiku ni upepo mwanana utokao katika bahari ya hindi iliyozunguka Hoteli hiyo. Kutembea pembezoni mwa ufukwe wa Pwani ya Parm beach ndio ulikuwa ugonjwa wake kila baada ya kupata chakula katika Hoteli hiyo. Mshale wa saa yake ukiwa unasoma ni saa nne na dakika thelathini na Tano Kijana mtanashati mwenye umbo la kimichezo na Season Chilumba alikuwa akijongea Taratibu katika ufukwe wa Parm beach. Wapenzi waliokaa gizani katika ufukwe ndio walimvutia katika macho yake na kuganda kuwatazama, Akili yake ikamtuma kwa mpenzi wake ambaye kwa wakati huo alikuwa nyumbani kwao na akajenga picha angelipata nafasi ya kukaa nae kama wale wapendanao anaowaona pale. Huku akicheza na mchanga kwa kuuchota na kuurusha katika maji taratibu akisogea eneo walilokaa wale wapendanao aliokuwa akiwaona kwa mbali na wakati huo macho yake yalikuwa yanakaribia kuwaona kwa ukaribu zaidi bila kutumia nguvu kutazama kama awali.



    .....................................................................



    Machale yalimcheza Chaurembo na kuhisi kama kuna mtu anakuja eneo walilokaa na kurudisha bastola yake taratibu katika pochi kisha akatabasamu na kumkaribisha Jorome kwa uchangamfu. "Karibu Jorome, Sijui utakunywa nini?" Jorome akiwa kainamisha kichwa chini. "Nitashukuru nikipata Juice" Jorome alijibu huku akiinua kichwa kumtazama Chaurembo. Kibao kidogo cha mahaba kilichotua katika shavu lake la kulia kutoka katika mkono wa Chaurembo kilimfanya Jorome kutabasamu. "Ok Subiri nikakuletee mpenzi wangu" Chaurembo alisimama na kubeba Pochi yake kisha kuelekea upande wa Restaurant ya Parm Beach. Jorome akamtazama Chaurembo akipotelea kule Restaurant. akaingiza mkono katika pindo la Suruali yake na kutoa kikaratasi kilichokunjwa Tayari kidonge cha Hearten kilikuwa kilikuwa kikiyeyuka taratibu katika kinywaji aina ya konyagi kilichokuwa katika Glass pale mezani. Chaurembo narudi kabeba Glass ya juice na kumpatia Jorome kisha wanagonga Tosi kila mmoja anapeleka mdomoni na kunywa kinywaji chake. Shingo ya Chaurembo inageuka nyuma na kumtazama Seasson akiishilia katika ule mgahawa, Anachukua Glass ya yenye konyagi na kumalizia kisha anamuangalia Jorome kwa Tabasamu. Tayari kidonge cha Hearten kilikuwa kikifanya kazi vyema katika Mwili wa Chaurembo na macho yake yalikwisha poteza nguvu ya ushirikiano mzuri wa kutazama kwa umakini. "Jorome Nakupenda" Ni neno lililotoka moja kwa moja katika kinywa cha Chaurembo na kuutekenya moyo wa Jorome, Pasipo kujali ene o lile ni maalumu kwa kupumzikia Tayari walikuwa wanabadilishana mate huku ndimi zao zikisuguana. Kama walevi taratibu wakakokotana mpaka ndani ya Hoteli kwenye chumba namba 77 Jorome alikuwa akimliza Mwanadada Jasiri na Mwenye Roho ngumu aliyepewa kazi ya kuitoa Roho ya Jorome. "Mume wangu" ndilo jina Churembo alilompatia Jorome kila baada ya Jorome kuingia na kutoka katika mgodi wake wa asali. Sauti ya simu ya pale chumbani ndiyo ilimshtua Chaurembo na kushtuka akiwa peke yake chumbani. Kwa uvivu akasogelea simu na kuitika. "Hallow" Upande wa pili ukamjibu "Samahani mteja sasa ni saa Tano tungependa kufahamu kama unaendelea kutumia hicho chumba na leo" "Hapana" Kisha akakata simu na kuvaa nguo haraka haraka. "Nampenda Jorome nitamlinda Popote pale" Ndiyo kauli ya mwisho Chaurembo kusema akiwa pale chumbani.



    ..............................................................................................



    Taarifa ya kulea Mimba isiyo ya kwake ilimtesa Chacha Marwa ambaye ni Kanali wa Jeshi la Wananchi na Mume wa Mary stela, Mke wake wa ndoa kutoshika mimba ndio chanzo cha mwanajeshi huyo kuamua kutafuta mwanamke na kumpangishia nyumba nzuri ili tu amzalie mtoto. Taarifa za Mary Stela kuwa na ujauzito alizipokea kwa shangwe na kuamua kuelekeza mapenzi yake yote kwa mwanamke huyo wa nje ambaye anatarajia kumzalia mtoto. Sasa tayari Taarifa mbaya zipo mezani kwake. Kijana mzoa taka na mzibua vyoo anayeishi yombo Machimbo aitwae Jorome kamdunga mkewe Mimba. "Kwahiyo ile mimba sio yangu?" Ni swali gumu alilokuwa akijiuliza huku akishindwa kujipatia jibu angali mtunga swali ni yeye lakini jibu ndio hana. "Siwezi kupatwa na aibu hii, Hakuna Mkurya Mjinga" Chacha alikuwa akijiapiza mara kwa mara huku akizunguka ndani ya ofisi yake. "Sijui huyo kijana nimmarize kwa bomu ra kurusha, Bomu ra Kutega, Au nimpige Risasi ya kuuria Tembo. Sierewi ni kifo gani kitamfwaa" Chacha alizungumza mwenyewe huku akikuna kichwa. "Haiwezekani reoreo nammariza" Kanali Chacha Marwa aliongea kwa hasira kisha akatoka nje ya ofisi yake.



    .......................................................................



    Akiwa ndio kwanza kaonja Asali, Mwaj akaamua kuchonga Mzinga ni usiku wa saa tano yupo ndani kwa Jorome juu ya kiroba anacholalia Jorome alikuwa akipatiwa raha ambayo hajawahi kuipata kwingine kutoka kwa Jorome. Akijitahidi kuzungusha kiuno chake ili kumpagawisha jorome alijikuta akitulia baada ya kuzidiwa uwezo huku akikubali adhabu ya bakora za moto toka kwa Jorome. Sauti ya mlango kugongwa ndiyo iliwashtua wazinzi wale na kila mmoja akasimama upande wake huku wakiangalia mlango. Teke lililoachanisha kitasa cha mlango na mlango lilitangulia ndani buti kubwa la jeshi huku bunduki aina ya SMG ikiwa mkononi. Jorome alibebwa juu juu huku akiwa uchi na kurushwa kwenye Gari aina ya Land Rover ya jeshi akapokelewa na kijana mkakamavu huyu si mwingine ni Seba kijana asiyeogopa milio ya Risasi anapokuwa vitani. "Mtulize huyo" Sauti ya chacha Marwa ilitoa Amri kwa Seba, Teke ziro likakandamiza kichwa cha Jorome katika Bodi la Gari huku Gari ikiondolewa kwa Kasi. Mwaj akiwa na kanga akakimbia kuelekea kwake kwa woga.



    ....................................................................



    Kisu chenye makali kilikuwa kikipenya katika kifua cha binadamu huku mto ukiwa umemziba mdomoni asitoe kelele, Miguu ililalamika kwa kurushwa hewani kisha ikatulia tuli kuashiria mwisho wake umefikia. D Rose akivua Gloves alizovaa katika mikono yake na kuutazama mwili wa Tina Pale chini huku machozi ya hasira yakimtoka. Kwa wivu wa mapenzi D Rose alikuwa keshamtanguliza Tina mbele ya haki kwa kuingilia penzi lake, Tena penzi la mwanaume anayempenda, Mwanaume aliyemtoa usichana wake kwa mahaba mazito ambayo hakuyategemea. "Huu ndio mwisho wa ubaya" D Rose aliongea na Maiti ya Tina huku akitoka na kutokomea kizani.



    ........................................................................



    Jitihada za kumtafuta mpenzi wake anayemuita mume katika akili yake hazikuzaa matunda ni usiku wa saa sita na nusu anakutana na maagizo toka kwa mkuu wake wa kazi akachukue maiti na kwenda kuitupa katika msitu wa mwabe pande. Chaurembo aligeuza gari kwa kasi na kuielekeza kinondoni kama mwanajeshi akaingia katika chumba cha Tina na kutoka na Tina akiwa kamlaza katika bega lake la kushoto, Moja kwa moja mpaka siti ya nyuma ya gari yake aina ya korola. Sauti za matairi kulalamika yakiwa yanapita juu ya lami kuelekea katika msitu wa mwabwe pande kwa mwendo wa kasi ndicho kilikuwa kikisikika kwa wakati huo. Barabara ilikuwa shwari mpaka kufika katika kona ya kutoka barabara kuu hakukutana na gari yeyote njiani zaidi ya Bajaji iliyopakiwa pembeni huku dereva wake akihangaika kubadili tairi. Kazi yake ilikua Rahisi akautelekeza mwili wa Tina na kuanza safari ya kurudi Mjini. Wazo la kupitia njia ya mkato lilipita kama mshale kichwani kwake kama wafanyavyo waendesha magari ya mashindando Chaurembo aligeuza gari na kukanyaga mafuta kuelekea barabara ya vumbi chini ya miti mirefu iliyozunguka msitu ule.



    ....................................................................



    Jorome akiwa kafungwa katika mti mkubwa huku macho yake yakiwa yamefungwa kitambaa cheusi. Chacha Marwa akilia machozi huku akikoki Bunduki yake aina ya SMG yenye Risasi Arobaini na Tano ndani alimuangalia Jorome kisha kwa sauti ya kukoroma akatoa Amri. "Seba koki silaha yako" Seba akaweka silaha yake vizuri huku wakimlenga Jorome. "Kijana leo ndio mwisho wako, Wewe si kidume cha kutembelea bustani za watu bira kujua zimegaramiwa, Sasa ukifika huko kawasarimie wakina Osama waambie huku tunakura maisha tu" Jorome akaanza kusali sala zake za mwisho huku akiomba Mungu amsamehe kwa yale aliyofanya, Sura ya Babu yake Mzee mwinyi mkuu ilimjia na kumuona akimpokea.



    Paaaa.. Paaaaaa..... Paaaaaaaaa....... Paaaaaaaaah



    Sauti ya Milio ya Risasi ilisikika Kimya kikatawala.................!





    Taarifa ya habari kutoka katika radio kubwa iliyo sebuleni kwa Mary Stela ilimfanya apoteze fahamu, Wadada mfanya kazi wa ndani alihangaika kumuamsha Mary Stela bila mafanikio. Akiwa hajui cha kufanya mkonge wa simu ulikua katika mkono wake huku akifikiria namba za kupiga, Shingo ya Mary Stela kugeuzwa ilimshtua wadada na kuachia konge wa simu ukadongoka chini mbio mpaka alipolala boss wake. Machozi yakimtoka Mary Stela huku akilalamika. "Mpenzi wangu usiniacheeee" Kilio kile kilizidi mchanganya wadada na kuanza kumbembeleza boss wake aweze kunyamaza na kumueleza kilichotokea.



    ...........................................................



    aji yakiwa yanamwagika katika bafu la chumba namba ishirini na moja, Sauti za mahaba ndizo zilizoburudisha masikio ya Nyanso msichana anayefanya kazi katika Lodge iitwayo Makutini nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam. Sauti ya mwanamke aliyekuwa akilalamika kwa utamu huku akivuta mate kwa kutumia ugongo wa ulimi wake. Nyanso aliweka Tofali nyuma ya Lodge ile na kupanda jicho lake likapenya katika dirisha dogo la Bafu la kile chumba macho yake yakatua katika bakora ndefu iliyokuwa ikimuadhibu binti mwembamba mwenye macho ya kulegea. Sauti ya mtu kuanguka iliwatoa katika starehe na kutulia kwa muda baada ya hapo milio ikaanza kusikika upya huku Nyanso akiondoka huku akiugulia maumivu.



    Baada ya kujisafisha miili yao na kupata stater ya kabla ya chakula walihamia katika eneo rasmi kwa ajili ya chakula kwa wapenzi. Miguno ya mahaba na ufundi wa kijana yule ulizidi kumpagawisha mwanadada yule mpaka akaanza kulia kwa sauti ya chini huku akijitahidi kupeleka mashambulizi kwa mpinzani wake bila kufanikiwa. ''Sitakubali umpe mtu mwingine huu utamu" Ni ahadi ya yule msichana kwa mvulana aliyekuwa akiwajibika vilivyo pale kitandani.



    ...............................................................



    Gari za polisi zikiwa zimeongozana kutokea katika msitu wa mwabwe Pande, Maiti mbili zikiwa katika mari la nyuma. Vifo vya wanajeshi wawili wa jeshi la wananchi Tanzania vilikuwa vikimuumiza akili mkuu wa jeshi la polisi kanda maalumu ndugu Alphonce Chawele. Magari yale yalipishana na Bajaji iliyowabeba wapenzi wawili waliotoka katika Lodge ya Makutini walipokuwa huko katika tukio la kiutuuzima tukio maalumu la kuridhisha nafsi zao kwa kuvunja amri ya sita kwa furaha. Macho ya yule mwanamke yalisindikiza gari la polisi huk u akitoa Tabasanmu pana."Paaah paaaaaaaah paaa" Ni sauti ya milio ya risasi ilijirudia kichwani mwa yule mwanamke na kugeuza shingo. "Jorome umewaona wale wapumbavu" Chaurembo alimnong'oneza Jorome sikioni bila Dereva wa ile bajaji kugundua. Jorome akapitisha shingo pembeni ya ile bajaji ili aweze kuona gari za polisi zilizowapita kwa kasi.



    .......................................................



    Kushindwa kutekeleza kazi ya kumuua Jorome kulimghadhabisha Sana Diblo, Akiwa juu ya pikiki yake aina ya XR huku akiwa amevaa kofia ngumu kichwani. Diblo alikuwa katika mitaa ya Yombo Machimbo huku macho yake yakitazama kila kijiwe kwa lengo moja tu la kumkamata Jorome na kuichomoa Roho yake. Pikipiki ikiwa inapakiwa nje ya Bar maarufu Temeke Stereo iitwayo Embe Dodo bar and Guest house. Vichochoro vilivyotengenezwa kwa ufundi katika eneo hilo ndivyo vilivyowavutia wateja wengi kuwa katika eneo hilo bila kuonekana. Katika viti pembeni ya ukuta mkubwa uliotenganisha bar ba Guest Jorome alikuwa kakaa na Mrembo na mchezaji wa filamu za Kibongo Trovina huku akiwa kalewa sana, Tayari dawa ya Hearten ilikuwa imekwisha jichanganya na damu ya Trovina na tayari jorome alikuwa akimkokota kuingia katika upande wa guest ndani ya bar ile.



    Akitazama mara mbilimbili kama haoni vizuri Diblo alivua kofia ngumu uhuku akifuatilia tukio zuri kutazama kama filamu vile, Ni Jorome mbele ya macho yake akimkokota Trovina kuelekea Upande wa Guest. Akibeba kiti na kukaa katika mlango wa kutokea wa ile Guest Jorome akaagiza Konyagi chupa kubwa na bia aina ya Safari akachanganya katika Glass moja na kuanza kunywa kwa haraka haraka.



    .........................................................



    Wakiwa chumbani Jorome alifikiri jinsi ya kumridhisha msichana mrembo kama yule aliyejilaza kitandani huku akilalamika kwa sauti inayotokea puani moja kwa moja, Cheni nyembamba ya rangi ya fedha iliyozunguka kiunoni mwa Trovina iliamsha mashetani wa Jorome na kusogea taratibu na kuanza kumvua Trovina nguo Taratibu. Mguu wa kushoto wa Trovina ukiwa magharibi na mguu wa kulia ukiwa mashariki katikati Horome alikuwa akicheza na kisiwa cha utamu kwa kutumia ncha ya ulimi wake huku vidole vya mkono wake vikifanya ziara katika Kiuno laini cha Trovina, Kidole gumba cha mkono mwingine wa Jorome kilikuwa mdomoni mwa Trovina akikinyonya huku akipumua kwa kutumia matundu mawili yaliyobaki ya kutolea hewa na kuvuta hewa. Shughuli ilipoanza Taratibu Trovina alikua juu ya kifua Cha jorome huku jorome akimpandisha juu na kumshusha chini. Mlango wa kile chumba ulisukumwa Jorome akiwa katika hatua ya mwisho kufika kileleni hakujali mlango kufunguliwa mara akajikuta katika mikono ya Diblo huku Trovina akijifunika kwa shuka pale kitandani na yule mtu kutokomea na Jorome pasipojulikana.



    ....................................................



    Nyanso msichana wa kihehe asiyekuwa na choyo aliyefundishwa na wazazi wake kutokuwa na choyo kwa kile alichonacho. Kipele kilicho katika mlango wa uke wake ndicho kilikuwa kikimtesa kila mara na kusababisha kumgaia kila mtu ili aweze kukikuna kipele kile. Bakora ya Jorome aliyoishuhudia kupitia macho yake ndiyo ilimchanganya na kuamua kufunga safari kuwafuatilia Jorome na Chaurembo mpaka ajue mahali anapoishi Jorome.



    Wakati Jorome na Chaurembo walipokodisha bajaji ya Aly Mgosi tayari Nyanso alikua keshatuma ujumbe katika simu ya Aly Mgosi ahakikishe anajua mahali Jorome anapoishi kwa Gharama yeyote. Jorome akiwa anaingia katika bar ya Embe Dodo Nyanso macho yake yalikuwa yakifuatilia kila tukio linaloendelea kati ya Trovina na Jorome. Maamuzi aliyochukua kuingia ndani ndiyo yalimuumiza Trovina na kutamani awafuate lakini nafsi ilimsuta na kuamua kusubiri nje mpaka watakapotoka.



    Jorome akiwa katangulia mbele huku Diblo yuko nyuma safari yao iliishia nje katika pikipiki ya Diblo, Kitu cha baridi kikigusa katika mbavu zake kilimshtua Jorome na kumfanya atii maagizo baada ya kugundua ni bastola.



    Macho ya Nyanso hayakuamini yakionacho baada y kuona bastola ikiwa imeelekezwa katika mbavu za Jorome. Moyo wa huruma ukamuingia na kuamua kuingia katika Tax akaanza kuwafuatilia wakina Jorome.

    Pesa ya Nyanso iliishia Magomeni mapipa wakati ile pikipiki iliyombeba Jorome ilikua ikiendelea na safari kuelekea kinondoni. Sauti ya kusunya ilimtoka nyanso huku akishuhudia Pikipiki iliyombeba Jorome ikitokomea mbele ya mboni za macho yake.



    .....................................................



    Ujumbe unaingia katika simu ya D Rose na kushtuka baada ya kuona jina la Diblo kama mtumaji wa ujumbe ule. "Njoo geto uchukue maiti ya huyu bwege wako" Ni ujumbe uliotumwa na Diblo kwenda katika simu ya D Rose. Kwa haraka D Rose akasimama na kuelekea katika kituo kikuu cha daladala Ubungo akapanda daladala zinazoelekea msasani na kukaa katika siti huku akilaumu mwendo mdogo wa dereva wa ile Daladala. Akiwa mwenye mawazo huku akikumbuka utamu aliopewa na Jorome, D Rose anajilaumu kwa kutoa kazi ya Kuuawa kwa Jorome. Anatoa simu katika mfuko wa suruali yake na kupiga namba fulani. Jibu kutoka kwenye simu kuwa namba haipatikani lilimkasirisha na kusababisha akunye sura yake kwa ghadhabu.



    Ndani ya chumba kidogo chenye giza, Huku mlangoni kukiwa na maandishi mekundu yasomekayo JEHANAMU inasikika sauti ya Diblo ikitoa Amri "Vua nguo" Bastola yake ikiwa inamuelekea Jorome, Jorome kwa woga huku akitetemeka. Sauti ya Risasi mbili ilisikika ikiambatana na kilio kikali cha mtu kisha kimya kikatawala.

    ...................



    Akiwa katikati ya Utamu ndani ya hoteli ya Kibo hoteli iliyoko Marangu Mtoni, Huku kamkubatia mumewe kwa nguvu zote ni siku ya kwanza ya fungate ya ndoa yao iliyofanyika katika ukumbi maarufu Moshi vijijini uitwao Bismark, Akiwa mwenye furaha sana sana huku akifurahia penzi toka kwa mumewe, Akitoa ulimi wake kuupenyeza katikati ya papi za mdomo wa mumewe. Ghafla anashtushwa na harufu kali ya ugoro anafumbua macho na kujikuta yupo kitandani huku juu ya kifua kalala mzee Lyaruu baba yake mkwe akiwa kapigwa na bumbuwazi anajikuta akipokea busu kutoka kwa baba yule, Anamsukuma pembeni na kuvuta blanketi anajifunika huku akimuangalia mzee yule kwa hasira. Manka machozi yanalowanisha mashavu yake ndoto aliyoota akiwa na mumewe Amani Masawe siku ya Fungate ya ndoa yao miaka minne iliyopita huku akimpa mumewe penzi zito kumbe kwa upande wa pili kupitia ndoto hiyo baba mkwe wake baba wa Amani alikuwa akifaidi Sukari ya mwanae.



    Ikiwa ni miaka mitatu tokea Amani amuache mke wake Manka kijijini Mbahe huko marangu na yeye kwenda Dar es Salaam kutafuta maisha, Ile desturi ya Amani kuja mwishoni mwa mwaka kula sikukuu ya krismasi na mwaka mpya akiwa na mke wake ilipotea ghafla huku akisingizia ni maisha magumu yanayomkabili. Mzee Lyaruu taratibu akaanza kumtamani Mkwe wake na zawadi ndogondogo ndizo zilimsogeza karibu na Manka, Kwa kutumia chibuku nne za pombe aina ya mbege ndizo zilizomlegeza Manka na kuvuliwa chupi na mzee Mtu mzima Mzee Lyaruu kwa mara ya kwanza. Baada ya Mzee Lyaruu kuonja asali alijikuta akitaka kila mara kitendo ambacho Manka alikipinga kwa nguvu zote.



    "Haiwezekani" Ni kauli aliyoitoa Manka baada ya kuingiliwa na Mzee Lyaruu bila ridhaa yake tena akimpa penzi zito lile alilompa mumewe kipindi cha fungate yao. Maamuzi ya kuondoka na kuelekea Dar es Salaam ndiyo yaligonga eneo la maamuzi la ubongo wake, Akiwa kavuta mdomo akaanza kukusanya kilicho chake na kuweka kwenye mfuko mkubwa wa plastic. Simu yake ikiwa kaining'iniza shingoni ikiwa ndani ya mfuko maalumu wa kuhifadhia simu, Furushi lake kichwani viatu mkononi akitembea kwa taadhari Asubuhi ya saa kumi na moja katikati ya migomba, Baridi kali ikipiga juu ya ngozi yake na kugonga katika mifupa huku ukungu wa baridi unaotoka katika mlima wa Kilimanjaro ukiwa umendanda uliosababisha asione vizuri mbele anapoelekea. Mzee Lyaruu akinfuata nyuma kwa tahadhari huku akimsihi arudi. Sauti ya Jogoo ndiyo iliyomshtua Mzee Lyaruu na kumfanya arudi ndani na kumuacha manka aende anapoenda.



    Ndani ya basi la Meridiani Manka kakaa kwenye siti ya mwisho kaegamia siti ya mbele yake huku machozi yakimtoka, Gari la Meridiani lilikuwa ndo linaiacha wilaya ya Moshi vijijini Safari ya kuelekea jijini Dar es salaam ndo ilikuwa imeanza.



    *****************************



    D Rose akitembea harakaharaka na kuingia kwenye Daladala inayoelekea Msasani anakaa siti iliyo karibu na Dereva, Kitendo Daladala kukaa katika kituo kile kwa muda mrefu kilizidi kumchukiza D Rose na kusababisha amuangalie Dereva kwa jicho la chuki. Kitendo cha kondakta wa daladala kugonga gari kuashiria dereva aendeshe gari kilimfanya D Rose ashushe pumzi na kumuangalia konda kwa Tabasamu.

    "Shusha Ubalozini" Sauti ya D Rose ilipokewa na Kondakta kwa kugonga bodi la gari dereva akapaki pembeni D Rose akashuka huku akimuachia Kondakta noti ya shilingi miatano pasipo kuchukua Chenchi. Safari yake ikaishi ndani ya bajaji iliyopaki upande wa pili mwa barabara. "Nipeleke Jumba la Dhahabu" D rose alitoa amri kwa dereva wa Bajaji, Sauti ya mlio wa bajaji kuashiria safari inaanza uliofuatiwa na sauti ya Dereva wa ile bajaji. "Buku tano" D Rose alikerwa na neno alilotoa dereva wa ile bajaji. "We twende buku tano kitu gani?" Tairi za nyuma za bajaji zilianza mashindano ya kuikimbiza Tairi moja ya mbele ya ile bajaji na kusababisha upepo kuanza kumpuliza D Rose.



    Wingi wa watu katika nyumba moja yenye vyumba viwili vyenye milango iliyotazama njiani ulimchanganya zaidi D Rose kwa mwendo wa haraka akapita katikati ya watu na kukutana na polisi aliyekuwa akiwasukuma watu wasisogelee eneo lile, Kitambulisho cha kazi tayari kilikuwa mbele ya macho ya yule askari tukio lililosababisha apishwe njia na kupita, Kwa hofu na ujasiri wa kujilazimisha D Rose alikuwa anasogelea chumba kilicho wazi kati ya vile vyumba. "We nani unayeenda huko, Si tumesema asisogee mtu" Ni sauti ya Sajenti Jovin askari aliyekula kiapo kulitumikia jeshi la polisi kwa uaminifu. "Muache ni muandishi wa habari huyo" Sauti ya askari aliyemruhusu D Rose ilimjibu Sajent Jovin na kusababisha D Rose aendelee na safari ya kuingia katika kile chumba. Macho yake yakakutana ma damu nyingi mlangoni Moyo ukiwa unamuenda mbio na macho kupoteza nguvu ghafla macho yake yanakutana na mwili wa kipande cha mtu ukiwa umelala sakafuni huku matundu mawili yaliyopita risasi yakionekana kichogoni mwa ule mwili huku uso wake ukiwa umelali dimbwi la damu. Diblo alikuwa kalala kimya milele huku pembeni yake kukiwa na bastola. Akirudi kinyumenyume na kugongana na askari aliyekuwa anaingia ndani ya kile chumba kwa mshtuko swali likamtoka D Rose.

    "Samahani Afande huyu mtu alikuwa peke yake?" "Ndiyo ira maerezo zaidi atatoa Msemaji wa jeshi ra porisi kuwa na subira" Yule askari alitoa jibu na kuingia ndani ya kile chumba. D Rose akiwa kasimama nje huku maswali mengi yakisumbua ubongo wake anashuhudia Mwili wa Diblo ukitolewa ndani ya Kile chumba.



    ****************************



    Tam Tam Guest House iliyoko Magomeni Mapipa ndani ya chumba chenye jina la Mombasa Wapenzi wawili waliokuwa wakipongezana kwa kazi nzito waliyoifanya masaa kadhaa yaliyopita. Akiwa kakaa kwenye kiti cha kuegamia huku katania miguu yake, Mwanadana akiwa kakaa juu ya miguu ya yule mwanaume huku akilalamika kwa sauti ya mahaba. Ulimi wa mwanaume ulikuwa ukihesabu pingili za uti wa mgongo wa yule mwanadada kitendo kilichosababisha kelele zizidi kusumbua wateja wengine katika vyumba vya ile guest.

    " Nataka leo nikupe chakula haramu" Sauti ya jorome iliongea kwa kubembeleza huku ikijibiwa kwa ishara ya kutikisa kichwa toka kwa chaurembo. Mafuta ya YK yalikuwa katika kiganja cha mkono wa Jorome taratibu akiyapaka katika pingili ya Kifaa chake cha kazi, Chaurembo akiwa kalalia kiti kwa tumbo huku kapiga magoti tayari Jorome alikuwa akipenyeza kitu katika shimo lililoharamu kutumika. Kelele kubwa ya Chaurembo ilimshtua jorome na kumfanya atoe bakora yake "Ingizaaa nasikia Raaaaahaaa" Chaurembo alijibu huku akishika bakora ya Jorome kuielekeza njia ilipotokea.



    **************************

    Ubungo Bus Terminal, Ni maandishi makubwa yaliyogonga mboni za macho yake na kuzalisha tabasamu pana, Mwisho wa kukaa ndani ya Basi la Meridiani ulikuwa umefikia furushi lake likiwa kichwani tayari alikuwa akiliacha geti la kutokea la Kituo kikuu cha mabasi Ubungo. Akiwa kasimama asijue pakuelekea huku neno KAriakoo kilikanda kichwani, Ni neno alilokuwa akimsikia mumewe marakwamara akilisema pindi alipokuwa akija Marangu msimu wa sikukuu. Akatoa simu yake na hutafuta kitu akakutanda na jina lililoandikwa "Mpenzi" akatoa tabasamu na kubonyeza kitufe cha kupiga simu na kupeleka sikioni. Mikono migumu na yenge haraka ilipita sikioni Mwa Manka na kujishtukia simu yake haipo tena katika himaya yake tayari kijana mfupi na mwenye mbio alikua akipotelea upande wa pili wa barabara na kusababisha kilio kikubwa kutoka kwa Manka.



    ***********************************



    Tatizo la kuzaa alilokuwa nalo kijana Thum lilimsababisha kutokuwa nafuraha katika maisha yake, Kila anapokuwa faragha na mpenzi wake Trovina nguvu za kufanya mapenzi hupotea pindi anapofikiria tu kuhusiana na tatizo lake. Vidonge vya viagra alivyonunuliwa na mpenzi wake Trovina ili viweze kurejesha furaha katika mahusiano yao havikubadilisha chochote katika hisia za Thum, Siri hiyo iliendelea kumtesa kwa muda wote na alikuwa amepanga kutoka na mpenzi wake na kumueleza tatizo alilonalo.



    Simu ya Trovina ilikua ikiita kwa muda mrefu pasipo kupokelewa, sauti ya mlio wa simu ile ulionyesha kumkera Dokta Nyemo.

    "Pokea simu tafadhali" Dokta Nyemo alimwambia Trovina huku akiendelea kuandika kitu juu ya karatasi ya njano pale mezani kwake. Trovina akatoa simu katika pochi yake na kupokea.

    "Oh mpenzi wangu Thum, Sory nipo hospital najisikia tofauti nacheck afya nitakujulisha nikitoka" Trovina akakata simu na kukuaa vizuri kumsikiliza Dokta.

    "Nimepima maleria majibu yanaonyesha hauna Maleria, Ila nimeangalia vipimo vya mkojo nimegundua kuna neema inakuja kwako" Dokta Nyemo alizungumza kwa upole huku akitabasamu.

    "Neema? Unamaanisha nini Dokta?" Trovina alijikuta akiuliza kwa hamaki. "Una ujauzito wa mwezi mmoja na wiki mbili, Kwa hiyo wewe ni mama mtarajiwa" Jibu lile la Dokta lilimkosesha raha Trovina. Akashukuru na kutoka nje, Tayari kichwani mwake alikuwa akipiga mahesabu ana miezi miwili hajakutana na Thum, Kwahiyo mimba ni ya Jorome. Alitikisa kichwa kupinga kile anachowaza.

    "Inabidi nimwambie Thum hii mimba ni yake tnen nitajua cha kufanya"

    Trovina alijisemea peke huku akishusha pumzi kwa kukata tamaa.



    *******************************

    Jorome akiwa amebeba mzigo mkubwa wa marobota ya nguo katika toroli nyuma yake yupo kijana anasukuma toroli lile, Akiwa anamaliza kona ya Jengo la Hotel ya Blue Peal. Mtetemeko wa simu yake iliyo latika mfuko wa suruali aliyovaa ulimfanya kusimamisha lile toroli pembeni na kutoa simu ndipo alipokutana na ujumbe mpya ulioingia dakika hiyo katika simu yake. Akijitahidi kutoa lock katika simu yake bila mafanikio Jorome alirudisha simu na kuanza kuvuta mkokoteni ule kuelekea kituo kikuu cha mabasi ubungo. Mtetemeko wa simu uliokuwa ikiita mfulilizo ulisababisha Jorome kutoa msonyo wa nguvu na kuegesha toroli pembeni kisha akatoa simu na kukutana na Missed Call kutoka kwenye namba mpya. Wazo la kusoma ule ujumbe likamjia akatoa lock ya simu yake na kukutana na ujumbe kutoka kwenye ile namba iliyombip.

    "Najua kila kitu, Najua wewe na malaya wako ndio mliofanya mauaji kule Jumba la Dhahabu, Sasa ili nisitoe taarifa Polisi nataka unipe kile ulichokua ukimpa yule dada pale Makutini Lodge. Mimi Nyaso"



    Ujumbe ule ulimshtua sana Jorome ghafla akashtuka anapigwa kikumbo na kijana mfupi aliyekuwa akikimbia kwa kasi kikumbo kilichopelekea yule kijana kudondoka na kuamka kwa haraka na kuanza kutimua mbio.



    *****************************



    Ikiwa ni jioni ndani ya Hoteli ya Ajax iliyoko Makumbusho, Sauti ya taratibu toka kwa Live Band iliyokuwa ikitumbuiza nyimbo za taratibu katika eneo hilo. Wapenzi wawili wakiwa wamekaa katika kona pembeni ya Tv kubwa iliyokuwa imezimwa kwa wakati huo. Kimya kilikua kimetawala huku sauti ya vijiko zikisikika kila mmoja akiwa busy na chakula. Wazo la kumwambia Thum kuhusu ujauzito alionao lilikuwa limekwishasogea karibu na kinywa cha Trovina, Akiwa na Tabasamu zito anamshika Thum mkono huku akimuangalia kwa macho ya Mahaba.

    "Thum leo ni siku ya furaha sana kwangu na kwako sababu nataka kukupa taarifa ambayo itadhihirisha kiasi gani wewe ni mwanaume wa maisha yangu" Thum anamuangalia Trovina huku machozi yakilowanisha kope za macho yake. Siri ya Tatizo lake la kuzaa tayari ilikuwa njiani kutolewa na Thum huku akiamini siku hiyo ndiyo siku watakayotengana kwa jinsi Trovina anavyotamani kuja kuwa na watoto halafu leo amwambie hawezi mzalisha.

    "Trovina mpenzi wangu kabla ya kuniambia unachotaka kusema wacha mimi nikwambie kwanza siri yangu" Thum alimwambia Trovina.

    "Hapana Thum Mpenzi wacha nianze mimiiiii" Trovina alimjibu thum kwa utani huku akimbusu katika papi za midomo yake.







    Akiwa kazungukwa na watu, wengine wakimuona kama kituko mbele ya macho yao huku wengine wakimdhihaki kwa ushamba wake ila kuna kundi dogo la watu waliokuwa wakimuonea huruma pasipo kuonyesha msaada kwake. Akiwa na mawazo kichwani mwakee bila kujua pa kuanzia, Mikono minene ilianza kusukuma watu huku kichwa chenye nywele nyingi zilizojisokota ovyoovyo kikijipenyeza kuruhusu macho yake kutazama kilichokuwa kikitazamwa na kundi kubwa la watu. Hipsi zilizojazia na kufanya gauni pana lililoshonwa kwa vitenge kutanuka na kutengeneza namba nane zilimvutia mtazamaji na kupelekea kusogea karibu zaidi na kukutana na kisa kilichomshangaza mwanamke mzuri kiasi kile alikua akililia simu yake iliyoibiwa na kibaka, Aina ya simu ndiyo ilimstaajabisha zaidi kwa hadhi ya yule msichana hakustahili hata kushtuka. Nokia Tochi ndiyo ilikua ikimliza Manka mpaka kugalagala pale chini kwenye mchanga. Mikono migumu ikimshika mkono na kumuinua huku furushi lake likiwa mkononi moja kwa moja mpaka kwenye Toroli juu ya marobota ya nguo safari ya kuvuka upande wa pili wa barabara ikaanza.

    Kama wafanyavyo makuli bandarini ndivyo ilivyokuwa pale ubungo External marobota yalikuwa yakishuka harakaharaka kisha toroli likageuzwa na kupakiwa nje ya jengo refu lenye gorofa tano huku kibao kikisomeka Dar Luxury Hotel. Macho ya Manka yalikuwa yakishangazwa na uzuri wa jengo lile refu lenye marumaru juu mpaka chini na kusababisha Tabasamu kuupamba uso wake.



    ****************************

    "Jorome kawezaje kumuua Diblo?" ni swali lenye utata lililozidi kupasua kichwa cha D Rose huku akifikiria historia ya Diblo anavyoifahamu ni jambazi aliyeshindikana anayetumia dawa kujificha na ni miaka zaidi ya thelathini sasa Jeshi la polisi linamtafuta bila mafanikio. Utaalamu wake wa kulenga shabaha ndio uliofanya Askari wengi kupoteza maisha pindi wanapokutana nae na kuamka mapambano ya kurushiana silaha. Hakuamini kama Diblo tayari ni maiti tena maiti iliyokufa kizembe. Gazeti la Taarifa lilikua mkononi mwake huku maandishi makubwa yaliyokuwa yakimkera yakiwa yanasomeka.

    "HATIMAE MUUAJI AUAWA" Kumbukumbu ya kazi aliyompa Trovina na mpaka kufika muda huo hakupata majibu ikagonga katika eneo la kumbukumbu katika medula ya ubongo wake maamuzi ya kumpigia Trovina simu ndiyo yalifuata. Simu ya D Rose ikiwa sikioni huku akisikiliza mpigiwaji apokee simu simu ilikua ikiita bila kupokelewa, Akarudia zaidi ya maratano lakini aliambulia patupu akaweka simu yake juu ya meza ndogo pale chumbani kwake na kujilaza kitandani huku ajishika kichwa.



    **********************************

    Trovina akiwa mbele ya mpenzi wake Thum akimuangalia kwa wasiwasi Jambo alilotaka kumwambia lilizidi kumkaba. Kwa sauti iliyojaa upole uliochanganyika na woga swali lenye kumaanisha likamtoka kinywani mwake.

    " Thum unanipenda?" Thum kwa woga huku akiongea bila kujiamini alijibu kwa sauti ya chini

    "Ndio nakupenda" Trovina akashika vidole vyake huku akiangalia chini vidole vya mguu wake wa kushoto vikichorachora chini. "Katika maisha yako ungependa kuwa na mtoto gani wa kwanza?"

    Swali lile lilimchoma Thum na kusababisha kupaliwa na chakula, Mfumo wake wa hewa ukashindwa kufanya kazi vyema kama gunia Thum akadondoka chini. Trovina kwa woga akatazama pande zote kuhitaji msaada, kwa umaarufu alionao ulisababisha ndani ya dakika chache watu wengi kumzunguka na tayari Thum alikuwa ndani ya Gari ya Trovina na safari ya kuelekea hospitali ikaanza.



    "Huruhusiwi kuingia humu ndani, Tuache tufanye kazi yetu" Sauti ya nesi ilikuwa ikigongana na lango kuu la mmoja wa mlango wa fahamu wa mwanadamu unaotumika katika kusikia sauti ulio katika Mwili wa Trovina. Kwa kukata tamaa akashuhudia Thum akiingizwa katika chumba kimoja chenye maandishi yanayosomeka PRIVATE huku kalala juu ya kitanda mirija ya kupitisha hewa ikiwa puani.



    ***********************************

    Maji yakiwa yanaichapa miili yao raha waliyokuwa wakiipata ilifanya miili yao kugandiana huku wakisahau joto la jiji la Dar es salaam lililokuwa likiivisha miili yao muda mchache uliopita. Sauti ya simu ndiyo iliyomshtua Jorome na kusababisha kumuachia Msichana yule mgeni jijini na kufunua pazia laini la plastiki lililotenganisha bafu na chumba kisha mkono kutua kitandani na kupokea simu.

    "Umeamuaje" Ni swali toka kwa Nyanso na kupenya katika sikio la Jorome. "Nitakutafuta baadae" Jorome alitoa jibu na kukata simu na kisha kuizima kabisa ile anataka kugeuka macho yake yakatua katika mwili wa manka uliositiriwa kwa kanga moja pekee tena ikiwa imelowa maji. "Dah kama yule demu wa kwenye filamu ya X niliyotazama jana" Jorome alijikuta akisema peke yake, Tayari uroho wa ngono ulikuwa umemkaba kama wacheza mieleka wanavyofanyaga akambeba juu juu Manka na kumbwaga Kitandani. "Wanawake wa kichaga hawajui kufanya mapenzi wao wanalalaga tu mwanaume afanye kila kitu" Kauli ya kila mara ya rafiki yake Nyamboso ilimtahadharisha Jorome na kuchipua tabasamu dogo, Kisha wazo la kuandaa ushindi likapitishwa ndani ya kichwa chake bila kupingwa

    "Sasa ngoja leo nimuonyeshe mimi ni kiboko yao hapa Dar es Salaam"

    Ukucha wake mrefu wa kidole cha mwisho ulianza kutembea taratibu katika kwapa la Manka huku upepo wa taratibu toka katika kinywa cha jorome ukipuliza katika tundu la sikio la Manka. Sauti ya kubwa ya kutaja jina la YESU kwa nguvu ilimtoka Manka huku akijinyonganyonga pale kitandani. Kitendo cha ulimi wa Jorome kugusana na Kisiwa cha utamu eneo la mwanzo la katikati ya Mapaja ya Manka kilizidisha kelele hapo ndipo jorome alipoanza kucheza na mfupa ulio latika kiuno cha Manka kwa kutumua kidole gumba kitendo kilichosababisha manka aanze kukatika kama yupo katika ngoma ya Mdundiko. Kilichofuatia baada ya hapo kiukweli mimi sikumbuki maana nilifunga macho kutokana na ugeni mkubwa wa kutazama matukio kama yale ambayo huwa nasikia hutokea sehemu maalumu tu.



    ***************************



    Uso usiokuwa na matumaini aliokutana nao Trovina ulimchanganya na kusababisha asimame katika benchi alilokuwa kakaa na kutarajia neno kutoka kwa mtu yule.

    "Huyu mgonjwa ni ndugu yako?" Ni swali lililotoka kwa yule dokta aliyekuwa akitarajia kumwambia chochote. "Ndio Dokta, ni mpenzi wangu" Trovina alijibu huku akiwa anamfuata yule Dokta.

    "Sawa nifuate ofisini" Dokta alijibu huku akielekea kwenye chumba kilichoandikwa MGANGA kisha Trovina akafuata nyuma na kuingia ndani ya kile chumba. Juu ya kiti kilicho mbele ya meza ya yule Dokta Trovina akajibwaga kwa uchovu. Macho ya Daktari yaliashiria Wingu zito jeusi mbeleni, Ujasiri aliofundishwa katika kuwasilisha tatizo mbele ya mteja ulipotea na kujikuta akidondosha chozi kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 20 aliyofanya kazi ya udaktari katika maisha yake. Picha ya mwanae Dinaa aliyejiua sababu ya kumpoteza mpenzi wake katika ajali ilimjia na kumfananisha binti aliyesimama mbele yake na Binti yake Diana anayeenda kukabiliana na taarifa mbaya kama aliyoipata binti yake miaka miwili iliyopita na kuzalisha Kifo cha binti yake kipenzi. Machozi ya Dokta tayari yalitoa jibu kichwani mwa Trovina, Jibu la Msiba tena msiba mzito wa mpenzi wake Thum. Kwa ujasiri Trovina alijikuta akitamka maneno ambayo Dokta hakuyatarajia.

    "Mmeshamuhifadhi chumba cha Maiti?" akili aliyonayo ya kuzalisha maswali ya mtego ndiyo iliyomuingiza Dokta katika Eneo husika na kujikuta anajibu swali kama lilivyotarajiwa kujibiwa.

    "Hapana ndio anaandaliwa ili apelekwe." kilio kikubwa cha uchungu toka kwa Trovina kilibadilisha ukimya ulio katika hospitali ile kupotea na Manesi kuacha kazi nyingine na kuanza kumbembeleza Trovina.



    **********************************



    "Mpenzi wa Msanii wa Filamu Aaga Dunia" Chakula chammaliza Mpenzi wa Trovina" Trovina aachiwa mtoto tumboni na mpenzi wake" "Ndoto ya Kuolewa na Thum yatenganishwa na kifo" Hivi ni vichwa vya habari vya magazeti vilivyokuwa vikipita mbele ya macho ya D Rose ndani ya Studio ya Radio Sweet Fm. Gazeti la Mdaku lilimvutia D rose na kichwa cha habari kinachosema "Trovina aachiwa mtoto tumboni na mpenzi wake" Akisoma kwa umakini maelezo ya habari ile yalizidi kumchanganya na kuhisi kuna kitu nyuma ya pazia. Kitendo cha Thum kumuomba ushauri D Rose miezi miwili kabla ya kifo chake ndicho kilichoifanya siri ya Thum kubaki duniani. Ni siri ya kutokuwa na uwezo wa kuzaa ni siri aliyotaka kuipatia ufumbuzi. Ni ushauri wa D Rose kumshauri Thum amwambie Trovina tatizo lake ndio uliomkutanisha Thum na kifo. "Iweje leo Trovina awe na ujauzito wa Thum?" Swali jingine gumu katika maisha ya D Rose" Kazi yake ya uandishi wa habari ilimfanya awe mdadisi na mchunguzi wa mambo ya watu. "Hapana hili siliachi lazima huu ujauzito una kitu nyuma ya pazia" D rose alijikuta akipitisha mawazo yake bila kuhitaji ushauri wa mtu. Akiacha kiti cha pale studio na kuanza kushuka ngazi za ofisi yao kuelekea nje huku akipiga simu. "Pole shoga angu, Naweza kukuona?" kimya kilitawala na kisha simu ya D Rose kukatwa kwa kidole gumba ktayari macho yake yalikua mbele ya mlango wa Tax zilizo katika kituo cha Tanx nje ya Ofisi yao. "Nipeleke Masaki" Tayari D Rose alikua ndani ya Tanx na safari ilikua imekwishaanza kuelekea Masaki.



    ***********************************

    Afande John kama walivyopenda kumuita wakazi wa kimara mwisho ni kijana mkakamavu mwenye umri usiozidi miaka arobaini na Tano. Kazi yake ya upolisi aliyoachishwa miaka kumi iliyopita ndiyo iliyosababisha John kuitwa Afande. Pamoja na kuachishwa kazi ya Jeshi la Polisi kwa kosa la kupokea rushwa lakini bado aliipenda kazi hiyo. Nguo zake za polisi alizobaki nazo alizipenda na kuzitunza sana sababu mara nyingi huzitumia katika kazi yake ya polisi jamii. Namba yake ya P 03347 D aliyokuwa akiitaja pindi anapopata kazi ya kumkamata mtu ilikuwa kama wimbo wa taifa katika kichwa chake. Nguvu na uwezo aliokuwa nao katika kazi ya kupambana na adui ndiyo iliyopelekea askari polisi wengi kumshirikisha katika matukio mbalimbali ya kupambana na wahalifu. Afande John alikuwa kavalia nguo zake za Jeshi la polisi zilizokosa mkanda na Kofia huku kichwani akiwa kavaa kofia ndogo ya mtumba nyeusi kama wanazovaa vikosi vya makampuni binafsi ya ulinzi . Akitembea kwa ukakamavu huku kirungu kikiwa mkononi tayari alikuwa akikatiza mitaa ya Machimbo yombo mbele yake akiongozwa na Binti wa kihehe Nyanso. Mbele ya mlango wa chumba cha Jorome tayari mkono wa Nyanso ulikuwa ukigonga mlango wa chumba kile. Sauti ya kitasa cha mlango ule kufunguliwa kwa ndani kisha sura mbaya ya Jorome ikatokeza na kupokewa na sauti laini isiyo na masihara ya Nyanso.

    "Naamini wewe ndiye Jorome?" Nyanso alimtwanga Jorome swali pasipo salamu. "NDio mimi?" Jorome alitoa jibu kwa kujiamini. "Ok naitwa Nyanso nimekutumia ujumbe hujaufanyia kazi, Ulisema utanitafuta mpaka leo kimya sasa yule askari palee kaja kukuchukua" Nyanso alimwambia Jorome huku akirembua rembua. Jorome kabla hajajibu tayari Afande John alikwishafika na kumvuta nje tayari Suruali aliyovaa ilikua imekwishashikwa kwa nyuma kwa aina ya Tanganyika jeki iliyosababisha Jorome atembelee vidole. Nyanso akija kwa nyuma huku akitabasamu na akijifanya asikii sauti ya Jorome iliyokuwa ikimbembeleza wayamalize macho ya Nyanso yanatua katika maandishi yaliyochakaa yanayosomeka. KONA KALI GUEST HOUSE. "Embu subiri kwanza" Nyanso alitoa amri iliyotekelezwa kwa utiifu na Afande John kama vile imetoka kwa askari mwenye cheo cha juu katika jeshi la polisi huku Afande John akiunganisha na Saluti ya utiifu kwa Nyanso, Saluti ile iliyomuongezea uoga Jorome. "Ukitaka yaishe twende ndani ya ile Guest mimi na wewe Tu, Unipe ulichompa yule dada kule Makutini Lodge" Sauti ya kunong'oneza toka kwa Nyanso iliarifu eneo la mawasiliano la mwili wa jorome.



    ********************************************



    Kimya kikiwa kimetawala ndani ya nyumba kubwa katika eneo la masaki, Walikuwa wamekaa wasichana wawili katika sebule kubwa yenye Thamani, Daftari ndogo ikiwa mkononi na kalamu huku macho yenye maswali yakimtazama binti aliye pembeni yake tayari D Rose alikuwa kazini katika kazi ya umbea ambayo hakupangiwa kuifuatilia na ofisi yake.

    "Trovina naweza kukuuliza kitu" Swali la kwanza baada ya kimya kirefu tokea D Rose na Trovina wasalimiane. "Yes go on" {Ndio unaweza endelea"

    "Inasadikika una ujauzito je huo ujauzito ni wa mpenzi wako marehemu Thum?" Trovina aliangalia chini kama anatafakari jibu la lile swali alipoinua uso tayari ulikuwa umelowa kwa machozi.

    "Ndio ni ya Thum" D Rose akaandika kitu juu ya kile kidaftari kisha akaachia tabasamu pana. " Hivi nikikwambia kuwa Thum hana uwezo wa kuzaa utasemaje?" Trovina alifuta machozi na kumkazia macho D Rose. " Sitosadiki maneno yako sababu Thum namjua mimi" D rose akachukua glass ya maji pale mezani na kunywa funda moja kisha akaunganisha na maelezo yenye swali ndani yake. "Thum hakuwa na uwezo wa kuzaa na aliwahi kuja niomba ushauri nikamshauri aje akwambie na jana muda wa jioni aliniambia anaelekea Hotel ya ajax kukutana na wewe ili akwambie tatizo lake, Je kabla ya mauti alifanikiwa kukwambia?" Swali lile lilimchanganya Trovina na kupoteza ujasiri wake wa kujibu maswali na kujikuta akitamka neno moja tu "No way" {Hakuna jinsi} D Rose hakumuacha apumue akambebesha swali jingine.

    "Unamaanisha nini, Au unamaanisha kuwa umemsingizia Thum?"

    Trovina kwa sauti ya taratibu huku akishika tumbo akajikuta anasema "Hii mimba ni ya Shemeji Jorome"

    D Rose kwa Sauti ya mshangao akajikuta amesimama huku kamshika Trovina blauzi kwa kumkunja.

    "Mimba ya Jorome wanguuuuuuuuuuuuuu???"



    *************************************

    Manka mikononi mwa Jorome tayari kaamshwa mapepo ya ngono mtoto wa kichaga anakatika ngoma ya mdundiko kitandani, Nyanso kamteka Jorome akili yake yote iko ndani ya Zipu ya suruali ya Jorome, Thum kafa kamuachia Trovina kizaa zaa, Muandishi wa habari D Rose anaingia kazini na kukutana na Tukio linalomuumiza tukio la Mpenzi wake kumpa mimba Rafiki yake mwingine....! Je nini kinafuataaaaa!



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog