Search This Blog

Sunday 20 November 2022

HOW I MET MY WIFE (2) - 5

 

    Simulizi : How I Met My Wife (2)

    Sehemu Ya Tano (5)







    Sasa turudi kwa anayeonekana kama main character hivii.. Nai..



    Mimba ya pili ilivyoingia, Nai hakuniambia kabisa, akawa anakuja tu geto napiga mambo anageuza, hakusema chochote.. Mpaka muda flani alipokata mguu na kuwa haji pale geto (nadhani aliamua kupambana nayo mwenyewe). Mpaka muda huu mimi nilikuwa gizani, Nai haji geto na ukimuuliza sababu ya maana hana..siku za nyuma nilikuwa nikimmis Nai sana naenda kwao, anatafuta namna ya kutoka na tunaonana, lakini kipindi hiki Nai alikuwa adimu hata ukienda kwao hatoki, anadai hakuna nafasi ya yeye kutoka.



    Nikabaki nawasiliana nae kwa simu tu. Siku moja tukaongea kwa kirefu sana kuhusu mimi kutambulika rasmi kwao kwa ajili ya kutaka kumuoa Nai, alifurahi sana kwakweli, na akaniambia njia rahisi ni kuonana na fazaake. Fazaake alikuwa muelewa sana na alikuwa anampenda sana Nai..akanipa namba yake na akanambia atamueleza kila kitu halafu atanipa go ahead nimpigie... Kweli bana, zikapita siku mbili mzee yeye ndo akapiga. "Nai amenieleza kila kitu kuhusu wewe, naomba tuonane kwa ajili ya mazungumzo". Kweli bana, Nai alinitoa uoga na kunambia baba yake hana shida, niende tu nikaonane nae. Ahadi yetu ilikuwa ofisini kwake niende jioni ya siku moja hivi, nikaenda na kumkuta peke yake..
    http://pseudepigraphas.blogspot.com/



    Akanikaribisha na akaanza mahojiano na mimi, tukafahamiana vizuri.. Mzee alikuwa na exposure sana wala hakuwa na shida kabisa..akaniambia kuwa "no complications mimi ndiye baba yake Nai, kama una nia ya dhati utamuoa tu". Tukamalizia mazungumzo yetu kwa kunikaribisha nyumbani siku mbili zijazo, akanambia uje mama yako nae akutambue ili wakati muafaka utakapofika asiwe suprised..nikasema sawa licha ya kwamba alinilaza na mawazo..



    Nai alifurahi sana, na kunipongeza sana kwa uthubutu wangu, nikamwambia nitoe basi katika lawama ulizonipa kuwa nayumba na sina msimamo, akanambia " bado kidogo, ukifanikiwa kunioa ntakufutia lawama zote".



    Siku ya siku ikafika, hii siku nikaona nisiende peke yangu, nikampanga msela wangu mmoja nikaenda nae..tulianzia msikitini, ulikuwa ni muda wa maghrib, baada ya swala tukaongozana na mzee mpaka home..Mama Nai alikuwa ameandaa kisawasawa maana mzee alimwambia tu aandae kwakuwa kuna wageni, hakujua wageni gani!!. Tulijijaza sebuleni pale na mzee baada ya kutukaribisha akamuita mama Nai aje amtambulishe kwa wageni wakati huu Mama Nai alikuwa jikoni akimalizia maandalizi..



    Hahhahaaaa kwakweli nilikuwa natetemeka sio kawaida, huyu mama jamani ni KAUZU, nieleweni kwa neno hilo tu!!. Alipofika sebuleni ni kama alipigwa na mshituko hivi baada ya kuniona., ila mzee hakustukia. "Huyu ndo mgeni wetu, anaitwa Nzi Chuma, Nai aliniambia ana nia njema nae, na yeye mwenyewe yuko tayari kuoa, ndo nikamwambia kabla hatujaenda mbali lazima tufike kwa mama nae akutambue..". Kufika pale akameza mate halafu akasema " Na huyu nadhani bila shaka ni rafiki yake ameongozana nae". Nikatilia mkazo na kumtambulisha rafiki yangu.. Nikamsikia yule mama akisema "Samahani baba Nai, nakuomba mara moja".



    Mzee akatuomba radhi na kufuata na mkewe chumbani. Pale sebuleni nikamwambia jamaa yangu ajiandae kutoka nduki maana hapo kwa ninavyomjua yule mama, kimeshanuka!!. Naam, tulikaa pale kama dakika kumi hivi mpaka mzee alipotoka na kutufukuza kama mbwa (naomba ieleweke kuwa tulifukuzwa kama mbwa, sitaki kueleza sana ilivyokuwa). Siku za mbele huko ndo nilikuja kujua kuwa yule maza alimwambia mzee kuwa "yule jamaa ni zaidi ya mbwa, ni mshenzi, anakuchezea mchezo, anakufanya mjinga..huyo Nai ameshampa mimba na wameitoa mimi namjua vizuri sana tu nishakutana nae hapa na alinijibu vibaya sana akidai kuwa hatuna cha kumfanya na mimba kashampa mwenetu.." Nadhani na blabla nyingi zaidi ambazo zilimpandisha yule mzee hasira hadi kupelekea kutufukuza vile...



    Ndoto zangu za kumuoa Nai zikaanza kuyeyuka..wakati huu nilikuwa bado sijajua kama Nai ana mimba. Nikamueleza Nai jinsi nilivyokata tamaa, yeye akanambia bado nina nafasi ya kupambana ingawa chance ni ndogo sana kwa sababu baba yake anamsikiliza sana yule maza, maza akitaka kitu dingi hawezi kupindua.. Ila alinitia moyo na kuniambia niendelee kupambana kwa upande wangu ila yeye upande wake, plan aliyonayo ni kabambe sana, lazima watanasa tu.

    Ok, mimi nikaamua kumvutia waya mzee baada ya siku mbili tatu, mzee aligoma kabisa kuongea na mimi na kuniambia kuwa sina sifa ya kumuoa binti yake kwa ushenzi nilioufanya. Akanitaka nikae mbali na familia yake.

    Sikuridhika, nikaamua nimfuate mzee ofisini na kumueleza nia yangu ya dhati kabisa juu ya Nai, ndipo mzee akaniambia alichoambiwa na mama Nai, hata kama mimi ningekua yule mzee nisingekubali..!! Mzee alilishwa tango pori za maana sana na Mama Nai, alimwambia yaliyokuwemo na yasiyokuwemo..!! Nikasepa zangu nikiwa nimekata tamaa kabisa.



    http://pseudepigraphas.blogspot.com/

    ******Mwanzo mbaya kwa Nai*********

    Ngoja nijitahidi niimalize hii story kama itawezekana...



    Baada ya tukio lile, ni kama Nai aliwekwa Quarantine vile, tukawa tunaonana kwa shida saana..mpaka wakati huu nilikuwa bado sijajua kama Nai ni mjamzito. Mawasiliano na Nai yalikuwa kama kawaida, ila kuonana nae ilikuwa ni case nyingine.

    Siku moja wakati nipo katika lecture moja ya mchana, Nai akanitext na kunambia kuwa Nzi Chuma kimenuka. Nikamuuliza nini tatizo? Akanijibu kuwa alinificha lakini yeye alikuwa mjamzito na mimba ilishafika miezi minne na leo ndio mama yake amejua. Wakati naendelea kuchat nae, mama Nai akapiga simu. Nikaikata na kumtext kuwa niko class, akanambia ukitoka class uje nyumbani.



    Story ilikuwa hivi: Mama Nai aliingia sebuleni hii siku na kumuangalia Nai jinsi alivyojichokea pale alipokaa.. Akamchunguza vizuri, na kama ujuavyo mimba ikishafika miezi minne na maziwa nayo yanajaa, basi akamtizama na tumboni vizuri, akamwambia "jiandae tutoke". Haooo moja kwa moja mpaka zahanati ya karibu ambako alipimwa mimba na kugundulika ni positive. Mama wala hakujihangaisha kumjua muhusika ndo akanipigia.



    Kumuingiza Nai katika tatizo kwa mara nyingine tena nilijisikia vibaya sana.. Ingawa Nai alionekana kama alikuwa anahitaji kuzaa na mimi ndo maana akaamua aifanye ile siri yake, lakini nadhani kutonishirikisha ndo aliharibu zaidi. Nikafika home na kuongea na bi mkubwa, kama kawaida, bi mkubwa aliniambia ujinga unaoufanya hautakusaidia wewe wala Nai. Sentensi ngumu kabisa aliyowahi kuniambia ni kuwa " Hata umpe mimba 100 Nai, mimi siwezi kukubali umuoe, nitazitoa zote". Nikajaribu kumshawishi yule mama kuwa mimi nina mapenzi ya dhati na Nai, niruhusu nimuoe. Mama akakaza.. Akaniambia mwanawe si msomi kama mimi, nitafute wasomi wenzangu.. Nilijitahidi sana kumbembeleza huyu mama ile siku (ikiwemo kumpigia magoti) lakini hakunielewa. Alichofanya ni kumpigia dokta anayemfahamu na kunambia anahitaji shilingi elf 70 afanye kazi ya kuichoropoa mimba. Akaniambia ni lazima niitoe hiyo pesa palepale ndo niondoke, daah!! Nikamkabidhi na nikatoka zangu nikiwa sina la kufanya.



    Licha ya yote hayo, Nai alinilaumu kwa eti kukosa msimamo, mimi mpaka leo sijajua nilikosa msimamo gani!!. Kesho yake alipelekwa hospitali, this time bila ubishi, akatiwa mikasi na kutolewa kiumbe cha miezi minne!!. Balaa likaanzia hapo..Nai akaanza kubleed non-stop, mwanzo ilionekana kawaida, ila ilipokata mwezi mzima anableed ikawa shida kidogo. Bi mkubwa akaongea na Hafsa na Nai akahamia Mbeya kwa uangalizi wa karibu zaidi.



    Tuliendelea kuwasiliana, lakini aliniambia kuwa bado anableed, na kuna siku alianguka na kupelekwa hospital kwa sababu ya upungufu wa damu, akawekewa drips za kutosha..!! Aliendelea kubleed kwa zaidi ya miezi sita!!. Kila kitu kilibadilika, alikonda zaidi ya alivyokuwa, akadhoofika sana. Mimi nilikuwa sina amani kabisa lakini sina cha kufanya pia..dadaake alijitahidi sana kuhakikisha anarudi katika hali yake ya kawaida, alitumia MD yake vizuri, lakini ni kama juhudi ziligonga mwamba hivi. Ila miezi 8 hivi baadae Nai alikata ile bleed na kipindi hiki akarudi pia Moro, mimi ndo namalizia second year sasa..



    Naomba tumpumzishe kidogo Nai, nitarudi kwake.



    Siku moja Sophy alinipigia simu, miezi zaidi ya 7 tangu tuache kuwasiliana, ni tangu aniambie ametoa mimba yangu...nilipopokea tukasalimiana kisha akaendelea...

    "Kuna kitu nataka nikwambie, mimi kipindi kile nilikwambia kuwa nimeitoa mimba lakini si kweli, niliamua tu kukwambia vile kwa sababu sikutaka kuwasiliana na wewe kwa sababu baba kama alikuwa ameniwekea watu wa kunifuatilia kwa karibu hivii..alikuwa anataka kumjua mtia mimba, so the only solution nikaona ni kukwambia nimetoa mimba, nilijua hutakuwa tena na hamu ya kuwasiliana na mimi na hapo tutakuwa safe sote. Nimejifungua wiki tatu zilizopita, mtoto wa kiume, anaitwa Bryan..". Hapo Sophy akatia nanga na kunisikiliza nitasemaje, nikamshawishi aje nae mtoto nimuone, akasema hakuna shida... Nitakuja nae weekend baada ya weekend hii...!!.

    http://pseudepigraphas.blogspot.com/

    Kweli Sophy alikuja na mtoto, huwezi kabisa kubisha kuwa ni wa kwangu, lakini nilikuwa na mashaka sana na maelezo yake...nikajaribu kuulizia upendo kama bado upo, akanambia ananipenda sana tu.. Nikaomba mzigo, Sophy akanipa nikaosha rungu..daaah!! Nikafurahi kupata mtoto angalau, lakini hii story ya kufichwa sababu ya babaake Sophy bado ilibaki kichwani mwangu.. Tukakubaliana pia mtoto aitwe AbdulRahiim badala ya Brayan (Sophy alikuwa mkristo nami ni Muslim), wazo likapita..Sophy akawa Mama Abdul!!.

    Sasa nikaanza kuwajibika na kutuma vihela vya matumizi kwa ajili ya mtoto, na kila nilipokuwa nahitaji kumuona mtoto mama yake alikuja nae.. Nikaanza pia mawasiliano na mamaake Sophy, mambo yakawa yanaenda vizuri tu.



    Hebu tukiongelee kipindi ambacho Nai alikuwa Mbeya na Sophy hajanitafuta.. Niliishije??... Hahahhahaa...



    Ngoja nikupe story ya kula kimasihara kwanza, halafu nitarudi huko kumalizia....



    Chumba cha pili pale nilipokuwa nimepanga alikuwepo dada Fatuma, dada la mjini (single mother) lenye watoto wawili (mmoja alikuwa class 7 na mwengine class 4). Aliishi yeye na mtoto wake wa kike na dada wa kazi.. Alipangisha vyumba viwili, kimoja (kilikuwa kushoto mwa chumba changu) kina sebule alicholala yeye na mwanae, kingine kimoja kipo alone, kilikuwa kulia mwa chumba changu ndicho aliishi beki tatu.

    Wakati wa shifts za night alishinda nyumbani mchana na alikuwa akishuhudia matukio yote ya mademu zangu..kuanzia Zulfa, Nai na Sophy..aliwashuhudia vizuri wakipishana. Ingawa mara nyingi sana alimshuhudia zaidi Nai. Alionesha dalili za kunitaka mapema sana, lakini sikuwahi kuwaza kumla kimasihara kabisa. Lakini hakuchoka.. Siku moja akaniomba namba ya simu, tukawa tumeanza kuchat.



    Wakati flani wa baridi kali pale Moro, mwezi wa 6-7(ndo kipindi ambacho Nai hakuwepo) alinitext saa 6 usiku na kuniuliza "Ushalala?" Mimi nikamjibu "Nalala vipi baridi kali namna hii?" Akaniambia "huna blanket?" Nikamwambia "Si vibaya leo blanket ukawa wewe, maana nateseka hasa".. Akanijibu " Mmmh.. Namuogopa yule dada ingawa sijamuona mdaa.." Nikamwambia "Mlango uko wazi, njoo nikupe story yake". Akatulia kama dakika mbili hivi kisha akajibu " Mimi sijazoea kuingia mageto ya watu", nikamwambia "Uoga wa aina hiyo siutegemei kwa watu wazima kama wewe". Akanijibu "Mtu mzima nina ndevu za wapi?" Mimi nikajibu "Mlango uko wazi, sukuma tu". Zikapita dakika kama kumi hivi ndo nikaona mlango unasukumwa.. Nilikuwa niko kwenye meza napitia simbi zangu katika computer, nikaruka mlangoni na kulihug.. Hili dada lilikuwa limeenda hewani, maziwa makubwa, tako kama lote.. Wakati huu lilikuwa na miaka 32, nikalianzia palepale mlangoni, nilipiga goti, nikalivuta juu dera lake kisha nikalipa lishike, lilikuwa halina chupi, nikazama moja kwa moja chumvini..



    Ngoja tufupishe.. Nikalipakua hiyo siku mpaka mida ya saa 10 hivi ndo likarudi kwake, na huo ndo ukawa mchezo wetu kila alipokuwa shift ya mchana, basi usiku alilala kwangu..!! Hivyo ndivyo nilivyotoboa life nikiwa mbali na Nai. Tatizo la Fatuma alikuwa ana wivu saaana.. Yaani baada tu ya kumla, basi hata akija demu pale geto alikuwa ananuna..!! Akidai kuwa yaani mi ananipa msosi halafu nautumia kuwala mademu zangu wengine (ni kweli alikuwa akipika ananiekea, na akawa pia anamcommand beki tatu wake afue nguo zangu pia). Ila mimi sikujali sana wivu wake, ilimradi akiwa yupo pale geto usiku mimi napiga show ya maana saana.



    Ngoja turudi kwa Nai sasaa..



    Aliporudi Moro, ni kama mamaake alimsahau hivi, akahisi atakuwa Nai ameshagive-up na mimi. So ukawa ni wakati mwengine wa kubanjuka na Nai, nikaendelea kula mzigo kama kawa.. This time ilikuwa maradufu, as kila mtu amemmis mwenzake kwa zaidi ya miezi 6. Basi anaweza kuja geto mchana, ikafika jioni nikahisi nimemmis, so kigiza kikiingia nasogea kwao, anatoka, namshukisha ukuta wa nyumba yao, nagonga vitu.http://pseudepigraphas.blogspot.com/

    Ilikuwa too much yani, yaani ni full kugegedana, hata hatukujua hatma yetu ni nini!! Ni kulana tu.



    A month later, Nai akaniambia anahisi kama ana mimba tena, lakini alifurahi sana kwa sababu anadai katika kile kipindi alichobleed sana, mmoja wa madaktari alimwambia kuwa amekatwa mrija wa uzazi, kwahiyo huenda asizae tena. Aliniambia hivi baada ya kuhisi ana mimba (hakuwahi kunambia before), so inawezekana alitaka kuprove kama kweli. Nikamwambia apime ahakikishe, nikamletea UPT, akapima, kweli ilikuwa mimba..alifurahi sana. Ila unfortunately, two weeks later ikatokea miscarriage.. Ila haikuwa shida sana kwake, kule kushika mimba tu, kwake ikawa furaha.



    Baada ya miscarriage alibleed kama siku kumi tu akarudi normal.. Tukaanza tena show za mgegedo.. Mimba tena.. A month later miscarriage..duuh!! Tukahisi kuna shida, lets try for another time tujiridhishe.. Tukagonga tena show.. Akapata tena mimba.. In six weeks, miscarriage..!! Hapo ndo tulipogundua kuwa kwenye kizazi cha Nai lazima kutakuwa na shida, shida hiyo ndo inasababisha mimba zitoke ovyo!!. Lakini hatukuwa na cha kufanya, tukakubaliana tusipeane tabu, niwe namwaga nje..!! Tukaendelea hivyo..





    Mwaka wa tatu wa chuo kwangu ulikuwa na ubusy kidogo, so sikuwa na time sana na mapenzi kiviile, muda mwingi nilikuwa chuo, nikirudi usiku sanaa geto nimechoka, naweka simu silent nalala. Nai alikuwa mwanamke mwelewa sana, hakusumbua, shida niliipata hapa kwa single mama, akiwa yupo pale usiku anapiga simu mpaka unajuta yaani..mpaka sometimes nikawa nazima simu..yeye muda wote anataka mapenzi tu!! Mwezi mmoja kabla ya UE huyu single mother nae akapata mimba yangu. Alifurahi sana, alinambia kumbe alihangaika muda mrefu sana kupata mimba nyingine, lakini mimi nimemuwezea. Kwangu sikuona shida, nilijua kwa sababu anafanya kazi na ametafuta mtoto kwa muda mrefu, atazaa tu na atalea.. Lakini haikuwa hivyo. Nilivyoondoka tu pale Moro baada ya kumaliza UE, wiki mbili tu nyuma akaniambia imeharibika, nikajua atakua ameshaitoa.



    Niliendelea kuwasiliana na Nai na pia niliendelea kuhudumia mtoto kwa Sophy!. Sikukaa sana kitaa nikapata kazi katika mradi flani ambao walikuwa wanatulipa vizuri, hapo nikaamua kujitegemea rasmi na kuanza mipango ya kuanzisha family.. Moyoni mwangu aliishi Nai tu. Niliamini nitamuoa tu one day.. Baada ya kufanya kazi kwa miezi sita hapa jijini nikawa niko vizuri sana. Nikarudi home na kuwaeleza mikakati yangu juu ya kuanzisha familia, nikawaeleza kuhusu Nai na yote yaliyotokea. Vidume vikajitokeza kunisaidia, nikavipa map vikafika kuonana na wazazi wake Nai..naam mtu mzima dawa, hawakutoka patupu..nikapata mrejesho wa kulipa mahari, nikalipa na kumuoa Nai, mtu niliyempenda zaidi maishani mwangu..!!. Lakini Nai hakuwa na raha na ndoa yetu, alikuwa anajua kuwa hawezi kupata mtoto. Lakini mimi nilimpa moyo kwa kumwambia kuwa ni bora nimekuwa mimi ambaye ndio msababishaji wa yote haya ndiye niliyekuoa kuliko angekua mtu mwengine, angekunyanyasa sana.. Nilijitahidi kufanya kila niwezalo Nai awe na furaha katika ndoa, lakini sidhani kama nilifanikiwa kwa 100%.



    Muda flani akaanza kunilazimisha nioe mwanamke mwengine ili nipate mtoto (hapa tulishakaa miaka miwili katika ndoa). Alihisi sina amani. Lakini mimi nilikomaa nae, kila daktari mtaalam wa Gynecology niliyemsikia nilionana nae, dawa nyingi zikitumika lakini bado hatukufanikiwa. Mwisho nikamweleza ukweli Nai kuhusu Sophy, akaniambia niwasiliane na Sophy ili Abdul aje hapa atufariji.. Nikawasiliana na Sophy, nikamueleza mpango wangu, hapo ndipo Sophy aliponibadilikia na kunieleza kuwa yule mtoto hakuwa wangu kabisa, ni kuwa tu baba yake hajiwezi kiuchumi ndo maana akanibambikia, na ndo maana kipindi cha ujauzito hakunishirikisha..lakini baada ya mtoto kuzaliwa wakahisi atakosa huduma muhimu ndo maana wakanibambikia. Hapo hamu ikaniishia, sikutaka kuujua undani sana wa huyo mtoto nikaamua kupotezea.. Nikaconcentrate na Nai wangu..

    http://pseudepigraphas.blogspot.com/

    Miaka ilipofika mitatu bila mtoto, nikalifanyia kazi wazo la Nai, nikaenda zangu kuchukua shombeshombe Pemba (how i met her, it's another story). Huyu ni kama alipata mimba siku ya harusi hivii...hahhahaa manaake alizaa miezi tisa kamili. Lakini Mungu sio Mzee Mkumba, baada ya kuoa, Nai alishika mimba mwezi mmoja tu mbele.. So alipishana na yule mke wangu wa pili mwezi mmoja tu kujifungua. Baada ya mwaka mmoja Nai akashika mimba nyingine na kuniletea toto la kiume (wa kwanza alikuwa wa kike). Kwa sasa nina watoto wanne, wawili wa kike na wawili wa kiume (kila mke mmoja akiwa na mtoto wa kike na kiume). Wanapendana sana na tunaishi kwa amani iliyopitiliza.

    Wadau, nimejitahidi kufupisha ili nisiwachoshe.. and this marks the end of how I met my wife...!!.





    Nzi Chuma, hadhuriwi na uvundo







    MWISHO

0 comments:

Post a Comment

Blog